Tatizo lilopo hata Ukawa ilikuwa ni michezo ya kuigiza tu. Ukawa ndo wamevuruga Mchakato mzima . Na hii taratibu za kususia vikao bungeni vitamaliza upinzani.Wapinzani gangamalia ukweli acha kudai haki msioijua. CCM ni wakomavu fitina wanazijua ndo maana kati ya ukawa nusu walikuwa CCM
Makongoro hana busara anazo akili mgando.Makongoro namfahamu aliweza kufukuzwa Cadeti Monduli (JWTZ) wakati baba yake yuko madarakani.Alifukuzwa kwa sababu alilewa na kulala nje ya Chuo.Kwa kimbelembele cha Gen Musuguri alilejeshwa chuoni na kupata Uofisa eti sababu Nyerere alikuwa anavisha...
Tatizo la Sita anaogopa kivuli chake.Sita mikono yake ni michafu kabisa. Taifa hili ameliangamiza kwa maovu ambaye hatutamsahau kamwe. Akiwa Spika aliunda Kamati iliyoongozwa na Mwakyembe iliyochunguza mtambo chakavu wa Richmond ambao sasa unaitwa Symbion.Kamati hiyo iliamrisha Lowasa avuliwe...
Ni jambo la kushangaza kuona mtambo wa Richmond na sasa unaitwa Symbion bado upo nchini na unafua umeme na kuingiza umeme kwenye Grid ya Taifa baada ya kuwauzia Tanesco.
Madhara ya mtambo huo ni kwamba bei ya umeme imekuwa ikipanda kila kukicha baada ya gharama za uendeshaji zinapopanda km...
Lowasa ni msimamizi wa mambo anayoyasadiki . Kutokana na mfumo ulivyokuwa kweli alistahili kungoka .Jambo kama lile ilitakiwa nmawaziri wote wangoke kwa kuwa kabla ya maamuzi hayajatokea baraza la mawaziri lazima libariki.Lakni fitina za makundi ndizo zilizopelekea kuchafua mchakato mzima. Wote...
Ni kweli swala la Balali sio issue ya kuanza kujadili. Suala ili limetumbukizwa ili wananchi waache kuchambua ambavyo ni nyeti kwa taifa. Habari zote ambazo zimeanza kujitokeza magazetini zote za kupangwa. Mashuhuda wanaojitia kwenda kuhani uko Marekani ni wa kupanngwa tu. Kuna shuhuda mmoja...
Tatizo lililopo ni uelewa mdogo wa masuala ya utaalamu wa kodi.Elimu kwanza iwaeleweshe waTZ kwanini kodi inasamehewa.Kwanza mahitaji yote ya miradi inatoka nje usiposamehe kodi watanzania watapata maendeleo? Mfano REA - Mradi wa umeme vijijini vifaa vyote vya Ujenzi vinatoka nje hata nguzo je...
Hili jambo sio la Magufuri au WM ila nila kwetu pia. Wananchi lazima waseme kama mambo yanafanyika ndivyo sivyo.Kwanza barabara imefinywa sana na kuondoa uwezekano magari kuingia yakitokea pembeni. Pili njia ya magari yaendayo kwa kasi ni nyembamba ikitokea gari ikapata itilafu basi magari yote...
Mwakyembe anatoa ahadi zisizotekerezeka ili apate umaarufu.Biashara ya ndege wataalamu wamekuwa wakishauri serikali itafute wawekezaji ndani ya nchi na nje wafanye biashara hiyo na serikali ipate kodi.Aidha ilitakiwa shirika lisiwepo ni mzigo mkubwa kwa taifa.
Yote sawa lakini maamuzi yetu yamekuwa ya kukulupuka ambapo mwisho wa siku mipango inakuwa vichekesho.Hivi kweli wakati wa sasa kuondoa kero Jijini Dsm ni kujenga barabara kutoka Kimara hadi kivukoni kwa stahili hiyo. Moja vituo kama maghara kama havingekuwepo naamini kulikuwa na uwezekano wa...
Ni kweli tuwe na maswali ya kuuliza na kupata majibu. Hapo awali kabla ya mchakato wa kupata katiba mpya , vyama hivi vilikuwa vinapingana kisera mpaka kufikia hatua ya kukashifiana hadharani , sasa ndoa hii imetokana na nini ? Katiba mpya ina mambo mengi (dondoo) zaidi ya 200 ambazo...
Taifa hili lazma liwe na ukomo wa kutoa maoni .Mambo ya nchi lazma yazibitiwe.Viongozi mkiyaacha uchi watanzania wataingia barabarani.Chuki na viporo vya majeraha tumeisha zika.Tujenge TZ yetu.Hata kama twataka serikali tatu au mbili jaribuni kusemea hayo tu.Hayo machungu utnaweza kufanya nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.