Hyu jamaa vp, kama hajielewi vile. Hawa wanamsikiliza Nape sana ndo maana anatema pumba. Acheni kupotosha mambo bhana. Serikali tatu si kuvunja muungano, ni kuimirasha muungano wenye mgawanyo bora wa madaraka na rasilimali.
Jaman, huku kutapatapa kwa CCM, kisa wazo la serikali tatu lilikuwa la upinzani na warioba basi wameona wakikubali moja kwa moja wataonekana wameshindwa. Wajinga kweli, walishindwa nn kuboresha mapema, walipoteza siku zote za mwanzo kwa ubishi na mbwembwe zote hawana lolote hao.
Hayo si mawazo ya wanakigoma, ni ya watanzania kwa sababu tume ilipita kila kona ya nchi hii. Kila wilaya ilikuwa na takribani mikutano 12/bara na 22/Zanzibar. Hivyo ni maoni ya kutosha kutoka kwa watanzania. Hata kwenye kampeni za ccm hawawezi kufanya idadi kubwa ya mikutano kama iliyofanywa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.