Kwamba ufafanuz wa wapi watachaguliwa kuendeleana ngaz za juu utatolewa,hii inanipa wasiwas kwamba inawezekan hakuna mipango iliyo kamili mpaka watakapo kaa na kujadi n wap watawapeleka,kama upo kwann bas usitolewe mapema ili watu wajue mbiv na mbich my take balaza wafanye kaz zao kwa weledi kwa...
usishabikie upuuz wewe polis hawawez kuchukua taarfa za magazetin na mitandao ya kijamii apeleke malalamiko yake vituo vya polis vipo kibao,na kaz ya polis sio kupeleka kes mahakamani tii bali hata kuonya na kusuluhisha kama walivyo fanya awal n sehem ya kaz yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.