Recent content by Karungi baby girl

  1. K

    JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu hopokei simu zangu

    umeshatemwa mrudie muumba wako ukatubu
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu huonekana kuwa na furaha zaidi wakiwa ‘single’ kuliko wakiwa kwenye mahusiano?”

    hao watu wanakuwa hawaendani ndo maana hali inakuwa ivyo pia ndoa inaanzia rohoni kama rohoni unamuona huyo mume au mke ya kuwa umepewa na Mungu hapo sawa mtaona na ndoa yenu itakuwa ya baraka hapa duniani
  3. K

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya biashara ya uchimbaji wa madini ya dhahabu

    asante kwa ushauri wako mzuri umenipa mwanga
  4. K

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya biashara ya uchimbaji wa madini ya dhahabu

    Samahani nilikuwa nataka kujua naweza kuanza na mtaji wa shs kwenye hii biashara ya dhahabu? maana naipenda sana nataka nianze hii biashara maana naona unasema ni elimu tu hata mtaji mdogo unatosha?? naomba unisaidie
  5. K

    JamiiForums Tanzania Hili tatizo la kukosa usingizi usiku, ninalo peke yangu au?

    muombe Roho mtakatifu ndo tulipewa hapa duniani wa kutusaidia kuomba maana sisi hatuwezi
  6. K

    JamiiForums Tanzania Hili tatizo la kukosa usingizi usiku, ninalo peke yangu au?

    muombe Roho mtakatifu
  7. K

    JamiiForums Tanzania Hili tatizo la kukosa usingizi usiku, ninalo peke yangu au?

    Mwenyezi Mungu anasema neno la Mungu likae sana kwa wingi ndani yenu
  8. K

    JamiiForums Tanzania Hili tatizo la kukosa usingizi usiku, ninalo peke yangu au?

    mimi nimesema asome neno la Mungu litamsaidia sio kumeza dawa umesikia
  9. K

    JamiiForums Tanzania Hili tatizo la kukosa usingizi usiku, ninalo peke yangu au?

    Mungu wangu inamaana kila siku utameza dawa Mwenyezi Mungu atusaidie watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa soma neno la Mungu likae sana moyoni mwako utamshinda shetani na kazi zake zote ndo ushauri wangu
  10. K

    JamiiForums Tanzania Wanaume mnajiamini sana aisee

    mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa hiyo hakuna mbinguni ni kusifu milele
  11. K

    JamiiForums Tanzania Wanaume mnajiamini sana aisee

    duh inatisha sana Mwenyezi Mungu atusamehe sisi wakosefu
  12. K

    JamiiForums Tanzania Wanaume mnajiamini sana aisee

    🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂eti kibabu
Back
Top Bottom