Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 29,145
- 51,818
Unataka akukodie kikundi cha kukusuta? Jiongeze basiJamani, naombeni ushauri. Mchumba wangu aliniambia ana ujauzito, na sasa imekuwa kama wiki ya pili tangu alivyoniambia hivyo. Nikamnunulia simu kubwa, lakini kwa takribani wiki mbili sasa hapokei simu zangu.
Sasa hivi nikimpigia, simu inakatika. Nifanyeje wakuu?