Recent content by Karim Karan

  1. K

    Bunge: Mahudhurio kwa kuheseabu ni Aibu kwa Bunge na Taifa

    Huo ni unafki wa WABUNGE WA CCM, wameona kupitisha ni aibu na kukata hawawezi wameona wakimbie, wakafanye vikao vyao vya unafki!
  2. K

    Picha - Kinana akinunua wanachama wapya hadharani - Kigoma

    Meno ya tembo hayo yanajenga chama!!!
  3. K

    Nadhani na mimi nitapata

    Mmh.....! hapo wataona ngumu kumeza.
  4. K

    Naamini mume wangu atapatikana humu JF

    Nipo hapa na nina zaid ya hivyo vigezo, nitumie picha na namba zako za cm (edmundmarandu99@hotmail.com)
  5. K

    Kwanini CCM Wasikabidhi Nchi kwa chama kingine?

    Alafu ile biashara ya MENO YA TEMBO itakuaje? au unataka wakina kinana na wezake waandamane nn.....!!!
  6. K

    Ccm hadi kwenye treni????

    Watafanyeje sasa wakati nan amewanyima basi zake, yule wa pale Kwa shabiby bus....! wenyewe wanazuga wameamua wenyewe!
  7. K

    Vijana wa ccm walalamika kutokuwa na kazi huku chama kikiwatumia katika kazi zake.

    Ajira si anazo KINANA au ajawataarifu....! Biashara yake ya meno ya TEMBO inahitaj vijana wengi sana.
  8. K

    Katika hili, siwaungi mkono wabunge wa upinzani

    Wee mtoto wa fisad acha kutupumbaza hapa.........!
  9. K

    Vincent Nyerere awakemea makada wa CCM Musoma mjini

    Tatizo ccm imejaa vilaza tupu!!!!
  10. K

    Siwezi kuipenda CHADEMA mpaka itueleze mambo matatu

    Hukumpenda mama aliyekubeba tumbon miezi tisa, utaipenda chadema? wee gamba vip......!
  11. K

    Mzee Tendwa wanachofanya CHADEMA ndiyo matumizi sahihi ya ruzuku?

    "mpumbavu mjibu kutokana na umbumbu wake" Yaan kwa sasa wananchi wanataka kusikia baba zako wamekamatwa tena mkaanze na kinana muuza meno ya tembo!!! Dr.slaa ni jembe na mtaumia sana au ulitaka aende kukopa CCM?
  12. K

    Askari wa JWTZ akamatwa na pembe za ndovu

    Tuwaone sasa wanaojiita usalama wa CCM, os sorry wa taifa wakamtoe na huyo KUCHA na JINO, awaseme kina kinana na wezake!
  13. K

    Sijamwamini SLAA..

    Yaan ccm bhana kila mada ni Dr.slaa nini kinachowaumiza xana? wapelekeen wanavijiji maji bdl ya kuwahonga kina mwampamba na wezake wakichafue CHADEMA, mtambue kuwa sasa hakuna wakuwapumbaza na AMAN huku hana hata uhakika wa kula,,,
Back
Top Bottom