"mpumbavu mjibu kutokana na umbumbu wake" Yaan kwa sasa wananchi wanataka kusikia baba zako wamekamatwa tena mkaanze na kinana muuza meno ya tembo!!! Dr.slaa ni jembe na mtaumia sana au ulitaka aende kukopa CCM?
Yaan ccm bhana kila mada ni Dr.slaa nini kinachowaumiza xana? wapelekeen wanavijiji maji bdl ya kuwahonga kina mwampamba na wezake wakichafue CHADEMA, mtambue kuwa sasa hakuna wakuwapumbaza na AMAN huku hana hata uhakika wa kula,,,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.