Recent content by Karikenya

  1. K

    Naomba kuuliza hili kwa niaba ya kina mama(wanawake)

    wengi huwa wanakula vyakula vinavyoweza kusababisha maziwa yatoke mengi, na vyakula hivyo pia huwaongeza mafuta mwilini na hivyo kuongezeka uzito
  2. K

    Mwanamke kumtongoza mwanaume na tamaduni za Kiafrika

    wanawake wamekua wakitongoza toka enzi na enzi ila wao wanatumia zaidi ishara,hisia na vitendo, na nadra kutumia maneno ya moja kwa moja
  3. K

    Baada ya 'DNA test' watoto wanne kati ya sita si wake

    Atakua sahihi kwa alichofanya ili liwe funzo kwa wengine, kwa maneno yake huyo alikua mwanamke wa kwanza na hakujua kwamba SIO KILA MWENYE UKE ANASTAHILI KUWA MKE.
  4. K

    Baada ya 'DNA test' watoto wanne kati ya sita si wake

    nilichomaanisha ni kwamba matokeo ya DNA test hayako 100% perfect. ingekua bora kama amepima sehemu kama tatu halafu afikie maamuzi hayo, ni maamuzi mazito mno
  5. K

    No kitu gani ungependa kumfanyia mpenzi wako kama akiwa mwaminifu kwao.

    uaminifu ni swala pana, ni uaminifu kivipi, kuna watu wengine wanaamini kuwa mwaminifu ni kutochepuka tu
  6. K

    Baada ya 'DNA test' watoto wanne kati ya sita si wake

    hayuko sahihi kumhukumu mke wake kwa kipimo kimoja tu cha DNA, wapo watu waliowahi kupata matokeo tofauti kwenye vipimo tofauti
  7. K

    Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    umesema huwa unasali?? naona kama mada haiendani na mcha Mungu wa kweli
  8. K

    Naomba kuuliza

    siongezi kitu hapo nisiharibu uhondo
  9. K

    Zitto: Tumekabidhi nchi kwa washamba na malimbukeni

    Tulieni ,nina hakika mtamkumbuka ni swala la wakati tu.
  10. K

    Ushauri: Nina mahusiano na mwanamke 'msimbe'

    Mke ni zaidi ya tendo la ndoa, jiulize mipango yako katika maisha ni ipi, angalia kama huyo ni mtu sahihi kuwa mwenzi wako katika maisha yako na familia utayojaaliwa na Mungu, kama ana vigezo vinavyokufaa fanya utaratibu wa kumuoa kama na yeye ana nia ya dhati na pia hujaeleza mmefahamiana na...
  11. K

    Ijue Mikoa ambayo 90% ya Nyumba zake za Kulala Wageni zina Kunguni,Panya na Inzi wengi

    nadhani gesti zinazozungumziwa hapa ni zile za bei rahisi, ambazo pembeni au kwenye hizo gest utapata pia na pombe za kienyeji na umeme ukikatika kunawashwa taa za chemli ,popote utakapo lala gesti za aina hiyo utakua mtu wa ajabu sana ukiwashangaa kunguni
  12. K

    Anafikiri alipotea njia

    kumuacha huyo mke ni bora kwake, huwezi kuvumilia tabia mbovu za mke kwa kisingizio cha watoto, hakuna jema watoto wanalojifunza hapo, aache utegemezi wa kuamini hawezi pata mke bora kuliko huyo, ataishia kwenye presha na ugonjwa wa moyo
  13. K

    Mume wangu mtarajiwa nitakuruhusu uongeze wake kadri uwezavyo

    na inaonekana mtoa mada ni mchamungu wa dhati ameiona hekima ya ruhusa hiyo kutoka kwa aliyemuumba
  14. K

    Mume wangu mtarajiwa nitakuruhusu uongeze wake kadri uwezavyo

    jambo lolote lililoruhusiwa na Mola lina hekima ndani yake, kama watu wote tungekuwa wachamungu kutoka moyoni swala kuoa mke zaidi ya mmoja hekima yake ingeonekana kwa wazi zaidi.
  15. K

    Mume wangu ana kisirani

    hata mimi nilikua na tabia hiyo japo nilikua sichukui muda mrefu nilikua sizidishi siku 3 kutokana na imani ya dini, mara nyingi tabia ya aina hii kwa waliowengi inaanzia kwenye malezi ya utotoni kama mama yako mzazi alikua anakupenda sana na kukudekeza ni rahisi ukioa ukawa una deka kwa mkeo...
Back
Top Bottom