Recent content by karichuba

  1. K

    Nape aja na Tuhuma nzito dhidi ya CHADEMA

    Eti wanao mfahamu vizuri, huyu bwana hajawahi kuugua magonjwa ya akili?
  2. K

    VIDEO-Zitto: Watu wa Mtwara wamejifunza kwa yaliyowakuta watu wa Kanda ya Ziwa

    ahahaha, kama kuna mtu anaponda hutuba hii ya zitto, hatofautiani na Mhaini tu- dogo tema cheche huu ndo wakati bwana.
  3. K

    Nasema sitashangaa kusikia CHADEMA na CUF kuhusika na fujo za Mtwara.

    jamani, kusema fujo za mtwara zinafadhiliwa na watu au taasisi za nje au vyama vya siasa, ni kuendelea kuudhilishia umma kwamba kwa sasa tz kuna ombwe la uongozi tena sugu. Ni aajabu watu wazima tena viongozi kuacha kabisa kufikiria. Hii italifikisha pabaya taifa hii. Tanzania wake-up and think.
  4. K

    Dr Slaa akataa mjadala na Nape ITV badala na Kinana

    Hizi, ndo siasa za Tz bwana, basi tuseme makatibu wakuu wameingia mitini au labda Dr. Slaa alikumbuka yale ya Juma Nkamia kule bungeni, ya kutaka kuongea na ..... badala ya .......
  5. K

    Rwakatare Hawezi Kushitakiwa Kwa Ushahidi wa "You Tube!"

    Ndugu, mimi nadhani sheria ya ushahidi haina utata katika hii. Kumbe hakuna sababu ya kuuma maneno. kinacho wakwaza polisi kumfikisha mahakamani ni watashtaki na kosa gani. Maana hakuna sehemu hata moja katika video alitaja mlengwa. Lakini ngoma ni watadhibitishaje kwamba hii si-video ya...
  6. K

    Rwakatare Hawezi Kushitakiwa Kwa Ushahidi wa "You Tube!"

    Duuh,kumbe na pasco ni mtata bwana. sijui nchi hii vipi?
  7. K

    GE2015 Kuelekea 2015: Kama CCM Itamsimamisha Edward Lowassa...

    Three sides of the story, it is only the truth that pulls towards the center with some centripetal force.
  8. K

    Kupunguza Woga/Fear ya Kushindwa katika kuanzisha Biashara

    ubarikiwe sana kwa kutufungua macho. hongera
  9. K

    Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

    maskini wabongo hakuna sheria ya kumlazimisha mtu aseme, kama hataki basi. kuhojiwa ni suala la hiari, labda kama akikataa kufanyahivyo mahakamani na penyewe ni suala la hakimu au jaji si serikali tena. kwelii nchi hii tuna mawaziri.
  10. K

    Rais Jakaya Kikwete amteua Bwana Hussein A. Kattanga kuwa Mtendaji Mkuu wa Idara ya Mahakama

    Tatizo siyo jina lake wala anakotoka au dini yake. Tuangalie anaenda kuwa nani huko. Ninavyojua mimi mahakama, ni muhimili wenye changamoto nyingi sana, kuanzia human resource mpaka fedha. Lkn huko kuna mabosi wengi yaani CJ, JK, Jugdes wa CA, Judges wa H/C na wasajili. Muundo wa mahakama sasa...
  11. K

    JOHN MNYIKA: Msimamo wangu wa sasa juu ya Kauli yangu bungeni!

    duh, wabongo bwana, mwenzenu mnajua mpaka udhaifu wake wa ndani, lkn mtu akisema ukweli nongwa.rais wetu ni imara tena sana. kumbuka alivyosimama kidete katika sakata ya epa, kwa yale majitu aliyoyaomba yarejeshe fedha eti kwa sababu hayakamatiki. just imagine the president of the country...
  12. K

    JOHN MNYIKA: Msimamo wangu wa sasa juu ya Kauli yangu bungeni!

    Duuh, kweli watz tuna ujuha. to say the president and his presidency are weak, ni jambo la kawaida sana. siyo mara ya kwanza haya kusemwa bungeni. lipi tusi lenye hadhi ya kumfukuza mbunge bungeni- kusema wabunge wa upinzani ni wapumbafu, punguani- yaani hawana akili timamu wanastahili...
Back
Top Bottom