Recent content by karembo

  1. karembo

    Tangazo la Airtel

    Au alikua BINAMU YAKO...Eeeh
  2. karembo

    Dogodogo anayedai talaka kwa Mzee Majuto

    Kumbe huwa inaota mvi na yenyewe....hahahaaaaaa U really made my evening ....
  3. karembo

    Dogodogo anayedai talaka kwa Mzee Majuto

    Mahari elfu 20.....du
  4. karembo

    Nina miaka 21 na sijafanya mapenzi

    ur ryt abeid.... ally habib stay as ur the ryt tym will come hold on.
  5. karembo

    Naitaji mkopo wa kuendeleza biashara yangu iliyokwama

    Nenda access bank pale makumbusho
  6. karembo

    natafuta king'amuzi cha star times nina TSH 30,000/=

    Hiyo CTV inapatikana wapi??
  7. karembo

    Jina zuri kikwetu, Tafsiri tata kwa kabila au lugha nyingine

    Rafiki angu mchaga anaitwa MAMBORO na lina maana nzuri tu kikwao. Na mdogo ake anaitwa FINYA maana yake nguvu kichaga.
  8. karembo

    Nyimbo bora za mapnezi kwa ajili ya mwenzi wako...

    Hahahaaaaaaa......kweli wewe sumuuuuuuuuuu..
  9. karembo

    Enjoy your Meal

    Saint gani wewe??
  10. karembo

    she stopped growing...

    Mmmmh ya Mungu mengi....acheni Mungu aitwe Mungu.
  11. karembo

    Muishio Dar Jibuni Swali hili

    Tushayapata....nenda ubungo jioni jioni ile uone starehe ya usafiri hasa wa gongo la mboto, mbagala, mbezi ...achilia mbali tabata na msasani. Ukimaliza hapo nenda kwa mtogole na mwananyamala siku ka ya leo wakati mvua imepiga kidogo.
  12. karembo

    Liverpool hawana ujanja kwa United Leo

    Kwa kifupi ni 3-1 Am waiting for it hata kwenye kikao cha harusi river side pale leo siendi. Glory glory united.....
  13. karembo

    nimeipenda hii

    U really made my day. Uwe muaminifu sasa coz next time such a good luck might not be on ur side. Luv ur story <3
  14. karembo

    My husband cheated on me, and has a 3-year-old daughter?

    Poor punctuation, spelling mistakes, poor tenses, poor grammar.....next time use Swahili. We'll get you much better. Otherwise, pole.
Back
Top Bottom