BMK hawana cha maana wanachofanya DDM kama walianza na zile sura(MUUNGANO) wakashindwa kuelewana iweje waendelee na sura zingne? naamini sura zingine zimebase kwenye muungano ndo maana waliamua waanze na muundo wa muungano cha ajabu wameshindwa kuamua ni aaina gani ya muungano inatufaa afu...
usituchafulie chuo chetu kama unashindwa kusema VIONGOZI WA CCM NDIO WALOTUFIKISHA HAPA TULIPO NYAMAZA KIMYA!!!
kwa hiyo udsm wanafundisha ufisadi na kutoa na kupokea rushwa ? ingekuwa vizuri ungefikiria before posting a thread!!
Window7...
usifuate mkumbo wewe kakae mabibo main pachafu sana,kujisaidia tu mpaka uende theater au SR By karatu one
habari zenu wanajamvi
kwa wale wa udsm jaman kama kuna mtu (boy) amepangwa room main campus na yy anataka mabibo naomba tufutane maana mm nimepangwa...
habari zenu wanajamvi
kwa wale wa udsm jaman kama kuna mtu (boy) amepangwa room main campus na yy anataka mabibo naomba tufutane maana mm nimepangwa mabibo ila napendelea main campus
nitumie PM au use this number 0789 913 931
natanguliza shukrani za dhati kwa watakao show positive response!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.