Mtambue mwanamke na single na aliyeolewa...

Mtambue mwanamke na single na aliyeolewa...

atatoa wap la tatu?

Munkari
Today 16:13
#5 JF Senior Expert Member Array


Join Date : 9th February 2013
Posts : 1,996
Rep Power : 735
Likes Received923
Likes Given133


[h=2]
icon1.png
[/h]
quote_icon.png
By mwantui
Sidhani kama nimeelewa.



tazama picha kwa jicho la 3 utaelewa tu mkuu!!​
 
Hamna lolote hapo maana wote wanalika tu hata kama anavaa hijabu maana hilo huvaliwa mchana tu. Fanya research upya. Usije ukafikiri ukiona manyonyo nje basi mwanamke utamchukua kirahisi or ukafikiri aliye jisitiri ndio hachukuliwi kirahisi. Hata wao wanajua kuna baadhi ya wanaume hawapendi wanawake wanao jiachia na wengine wanajua baadhi ya wanaume hupenda wanawake wanao jiachia. HUO NDIO UKWELI
 
Inamaana yule aliyeolewa lakini kaacha kifua wazi hana raha?
 
Back
Top Bottom