Recent content by karasinga

  1. karasinga

    JIipu nyumbani kwa Magufuli wilaya ya Chato

    Habari za kazi mimi ni mwananchi ninaeishi katika kijiji cha MUSASA kata ya makurugusi wilaya ya Chato mkoa wa Geita. Malamiko yangu ni kwamba hapa kijiji cha Musasa kumegeuka mgodi wa Dhahabu wa wachimbaji wadogo tatizo langu sio mgodi wa dhahabu tatizo ni wizi wa mapato ya serikali ya kijiji...
  2. karasinga

    Kocha julio maiti isiyonuka

    wewe ni mpenzi wa yanga ni mmoja ya wale watu waliokuwa wanazomea taifa wakati kilimanjaro ikicheza sasa ubaya unalipwa hapa hapa duniani ....zamareki ndio watakao watia adabu ya kujua uzalendo ni kitu katika iliyonyuma kimpira kama yetu,
  3. karasinga

    Nape aongea na vyombo vya habari, alalamikia masuala kadhaa!

    wakakae meza moja na rostam,chenge na rowasa hao ndio wenye dowans waiache chadema na harakati za ukombozi wa nchi hii maana tusipoonyesha msimamo katika hili watoto zetu watakuja kutucheka na kutushangaa na cc kama tulikuwa na akili timamu za kufikili ,
  4. karasinga

    Wasiwasi Mwabulambo toa ukatuni wako PB

    akuuwa michuzi na fina ni kipanya na fina ila uyo hando anazingua sana
  5. karasinga

    Ivi mastaa wa bongo huwa wanakumbuka ya kesho?

    jamani kazi sana maana kuna leo na kesho?
  6. karasinga

    GE2010 Uchaguzi mdogo Igunga (UPDATES): Upigaji Kura

    jamani nipeni taarifa za matokeo kura c zimeshaanza kuesabiwa tayali?
  7. karasinga

    GE2010 Uchaguzi mdogo Igunga (UPDATES): Upigaji Kura

    jamani cdm tutashinda kweli'
Back
Top Bottom