Recent content by Kapyarupyaru

  1. Kapyarupyaru

    Safari yangu ya Dar Moshi kwa Boxer bm 150

    Hapana,kikubwa ni protective gear tu,awe na helmet ya ukweli yenye kioo na nguo itakayokinga kifua!
  2. Kapyarupyaru

    Ombi: Stendi ya Msamvu Morogoro iwekwe sehemu ya kupumzika abiria

    Hii stendi angalau inamuonekano mzuri kuliko ile inayojiita ya kimataifa pale Ubungo, shida kubwa katika kituo hiki cha Msamvu ni sehemu ya kumpumzikia abiria wakati wakisubiri usafiri, yaani abiria wanakaa chini kwenye ngazi au korido pamoja na kazi nzuri ilofanyika hili nalo lapaswa kuzingatiwa.
  3. Kapyarupyaru

    Wimbo wa Kiswahili wa BABA YETU (gospel) wakonga nyoyo za wakazi wa Dubai Uarabuni

    Aaah!mie za mafundisho ya kiislamu labda ya Sheikh Kipozeo tu baas!
  4. Kapyarupyaru

    Wadada wa Tigo na vigauni vyao mlimani city!!

    Halafu utakuta ni vidada virembo tu mpk najiulizaga ivi huwa wanalipwa sh ngapi wale?!
  5. Kapyarupyaru

    Mwanamke mwenye uke mdogo ni ugonjwa au maumbile tu?

    Hyo ni kama sisi wenye vibamia tu mkuu usitie shaka,kama inaingia kwa shida tumia ky ndo kazi yake hapo ati!!
  6. Kapyarupyaru

    Najuta kuingia katika mahusiano ya mama mtu mzima

    Mkuu sikiliza,mimi huwa nawapatiaga sana hao,kama kweli unamaanisha ulichoandika nitumie namba yake chemba halafu uone kama atakufuata tena!NOTE:kama ni tegemezi ishia hapo hapo nshachoka kuhonga mie
  7. Kapyarupyaru

    Hii kitu sikuwa najua

    Mwanaume ,ukiona dushelele lako halisimami nganganga mpaka linyonywe ujue una upungufu wa nguvu za kiume!!
  8. Kapyarupyaru

    Nimepiga vigelegele na kushangilia baada ya mume wangu mtarajiwa kupunguzwa kazini! Oh halleluyah!

    Kama ataendelea kuzingua mama njoo kwangu tuendeleze maisha!
  9. Kapyarupyaru

    Nimemwendea mke wangu kwa mganga!

    Kudadadek!nakupongeza sana mkuu haiwezkani kila siku tulogwe sisi tu!!
  10. Kapyarupyaru

    Kwanini wanaume huwa na michepuko?

    Umeshawahi kuwa mwanaume ukaona kuwa kuchepuka ni kujiendekeza na ni ujinga?!
  11. Kapyarupyaru

    Kwanini wanaume huwa na michepuko?

    Hapa si unakuta wengine huwa tunawadanganya kuwa hatujaoa kumbe tuna ndoa zetu!Kuna wengine akija kugundua kuwa una mke anaachana na wewe hasa kama ulikuwa unampa hela mbuzi,kama ulikuwa unamuhonga mijihela mingi hata akijua una mke hatoachia ngazi ng'o!!!
  12. Kapyarupyaru

    Kwanini wanaume huwa na michepuko?

    Umeona eenh?!kwa iyo ishu hapa ni wanaume kutooa ili kusiwe na kitu kinachoitwa mchepuko,utakuwa unajigongea tu!
  13. Kapyarupyaru

    Wine mbwembwe tu......

    Asikudanganye mtu eti wine inasaidia digestion,aah!wapi kitu SHARUBATI YA UKWAJU,hata ukipata constipation ngumu kiwango cha lami italainika tu kudadadaek[emoji270] [emoji270]
  14. Kapyarupyaru

    Wanaume kulala fofofo mara tu baada ya tendo la ndoa

    Kwani wewe umeshachunguza wangapi?tuanzie hapo kwanza then ntakupa jibu mujarabu
Back
Top Bottom