Hii stendi angalau inamuonekano mzuri kuliko ile inayojiita ya kimataifa pale Ubungo, shida kubwa katika kituo hiki cha Msamvu ni sehemu ya kumpumzikia abiria wakati wakisubiri usafiri, yaani abiria wanakaa chini kwenye ngazi au korido pamoja na kazi nzuri ilofanyika hili nalo lapaswa kuzingatiwa.
Mkuu sikiliza,mimi huwa nawapatiaga sana hao,kama kweli unamaanisha ulichoandika nitumie namba yake chemba halafu uone kama atakufuata tena!NOTE:kama ni tegemezi ishia hapo hapo nshachoka kuhonga mie
Hapa si unakuta wengine huwa tunawadanganya kuwa hatujaoa kumbe tuna ndoa zetu!Kuna wengine akija kugundua kuwa una mke anaachana na wewe hasa kama ulikuwa unampa hela mbuzi,kama ulikuwa unamuhonga mijihela mingi hata akijua una mke hatoachia ngazi ng'o!!!
Asikudanganye mtu eti wine inasaidia digestion,aah!wapi kitu SHARUBATI YA UKWAJU,hata ukipata constipation ngumu kiwango cha lami italainika tu kudadadaek[emoji270] [emoji270]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.