flintsky
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 654
- 744
Habarini wanajamvi!
Najua wengi kichwa cha habari kitawashtua maana mara nyingi au imekuwa mazoea kusikia wanawake tu ndio huwaendea waume zao kwa waganga kwa sababu mbalimbali wanazojua wao!
Mimi yamenikuta na uamuzi niliouchukua kumwendea kwa mganga hata sijutii!
kwa hali ilipofikia sikuwa na jinsi zaidi ya kumuendea huko maana ndio mwisho wangu wa kufikiria ulipofikia.
Nilishaleta uzi hapa kumuhusu huyu mke "MKE WANGU ANASHINDANA KILA KITU NA MIMI"nisiwachoshe kusoma sitaki uzi uwe mrefu kama gazeti la MZALENDO!
Huyu mwanamke alinisumbua sana ilifikie hadi kunitoroka karibu wiki nzima na ukichukulia nampenda!nikafanya maamuzi magumu nikamwendea pangani
niliporudi nyumbani nikamchomea hiyo dawa na kunuiza chumbani hapo mkumbuke nishamfata kwa shangazi yake zaidi ya mara 5 arudi hataki!nilipomaliza kunuia tu mtoto huyu hapa hajachana hata nywele kaja kama amekimbizwa
kidogo mimi nikimbie nimwachie chumba ila nikajikaza!kuna dawa ingine nilipewa ya kupaka kichwa kidogo unachanganya na asali na manuizi wakati kuduu naona mafanikio mtoto karudi anashinda tu hapo nyumbani.
Najua wengi kichwa cha habari kitawashtua maana mara nyingi au imekuwa mazoea kusikia wanawake tu ndio huwaendea waume zao kwa waganga kwa sababu mbalimbali wanazojua wao!
Mimi yamenikuta na uamuzi niliouchukua kumwendea kwa mganga hata sijutii!
kwa hali ilipofikia sikuwa na jinsi zaidi ya kumuendea huko maana ndio mwisho wangu wa kufikiria ulipofikia.
Nilishaleta uzi hapa kumuhusu huyu mke "MKE WANGU ANASHINDANA KILA KITU NA MIMI"nisiwachoshe kusoma sitaki uzi uwe mrefu kama gazeti la MZALENDO!
Huyu mwanamke alinisumbua sana ilifikie hadi kunitoroka karibu wiki nzima na ukichukulia nampenda!nikafanya maamuzi magumu nikamwendea pangani
niliporudi nyumbani nikamchomea hiyo dawa na kunuiza chumbani hapo mkumbuke nishamfata kwa shangazi yake zaidi ya mara 5 arudi hataki!nilipomaliza kunuia tu mtoto huyu hapa hajachana hata nywele kaja kama amekimbizwa
kidogo mimi nikimbie nimwachie chumba ila nikajikaza!kuna dawa ingine nilipewa ya kupaka kichwa kidogo unachanganya na asali na manuizi wakati kuduu naona mafanikio mtoto karudi anashinda tu hapo nyumbani.