Recent content by KAPURO

  1. KAPURO

    Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

    Pole Sana wafiwa. Mungu Wetu ni Mungu WA rehema. R. I. P Marehemu wote Amen
  2. KAPURO

    Naomba ushauri: Nimeambiwa kuna biashara nzuri ya Maharage na Dagaa Nyasa kutoka Tanzania huko Afrika ya Kusini

    Habari wapendwa kuna mtu kaniambia kuna biashara nzuri ya maharege na Dagaa Nyasa kutoka Tanzania huko Africa ya Kusini. Mwenye kufahamu kwa kina naomba atupe ABC zake hapa
  3. KAPURO

    Askofu Kakobe: Usalama wa Taifa msihangaike nami. Adai kuna kiongozi kavaa hirizi!

    HAKUNA kuna aliwyeweza na nguvu za mungu akashinda. Nawakumbusha wanaomdhihaki kakobe na Sawa na kumdhihaki mungu. Tazama walichofanyiwa jeshi la Farao pale habarini, Kumbukeni kikichomkuta Balaam na punda wake n. K
  4. KAPURO

    Askofu Kakobe: Usalama wa Taifa msihangaike nami. Adai kuna kiongozi kavaa hirizi!

    HAKUNA kuna aliwyeweza na nguvu za mungu akashinda. Nawakumbusha wanaomdhihaki kakobe na Sawa na kumdhihaki mungu. Tazama walichofanyiwa jeshi la Farao pale habarini, Kumbukeni kikichomkuta Balaam na punda wake n. K
  5. KAPURO

    Tundu Lissu: Letters from a Nairobi Hospital Bed

    Good is great
  6. KAPURO

    Kwa mbwembwe zote zile mshahara wa watumishi wa Umma imeongezwa Tsh 7,000/=(elfu saba tu)

    Malaki 3:5 [5]Nami nitawakaribieni ili kuhukumu; nami nitakuwa shahidi mwepesi juu ya wachawi, na juu ya wazinzi, na juu yao waapao kwa uongo; na juu yao wamwoneao mwenye kuajiriwa, kwa ajili ya mshahara wake, wamwoneao mjane na yatima, na kumpotosha mgeni asipate haki yake, wala hawaniogopi...
  7. KAPURO

    Mishahara mipya Novemba 2017 kuna ongezeko?

    Malaki 3:5 [5]Nami nitawakaribieni ili kuhukumu; nami nitakuwa shahidi mwepesi juu ya wachawi, na juu ya wazinzi, na juu yao waapao kwa uongo; na juu yao wamwoneao mwenye kuajiriwa, kwa ajili ya mshahara wake, wamwoneao mjane na yatima, na kumpotosha mgeni asipate haki yake, wala hawaniogopi...
  8. KAPURO

    Mbunge Jesca Kishoa umekiuka Mila Za Kinyiramba

    Unahitaji maombi ya kuvunja maagano ya vizazi na madhabahu za Giza.
  9. KAPURO

    Wapinzani acheni upotoshaji, watumishi wa serikali watapandishiwa mishahara

    Ahaaaaa, we kweli mtumishi wa Goliath.
Back
Top Bottom