N
Ni kweli mkuu, Mimi mwanangu wakiume nimemuita Sankara.
Nimempa jina hilo kwasababu nilivutiwa Sana na harakati za aliyewahi kua Rais wa Burkina Faso hayati Thomas Sankara.
Binaadamu kweli hatuna jema khaaaa!!!, Wakat wa kampen magufuli alizungumza kuhusu ili kwamba wenye maeneo makubwa wasipoyaendeleza yatachukuliwa na serikal na kupewa wananchi, mkashangalia leo anatekeleza ahadi yake mnaanza kumpa lawama.
Duuu ebu weken uchama pembeni wenzenu wafanye kaz kwa...
Ha ha ha ha wavumilie doso tu!
Huku ni heri upigwe doso tu maana yanaishia hapo hapo ila ukiambiwa uandike maelezo ujue umeumia na chance yakuja kupata ajira ni ngumu coz hayo maelezoyako yatakua attached kwenye file lako.
Kudoji kupo ila doji kwa akili Sana make sure roll call ikipitishwa...
Ha ha ha ha kijana mafunzo ndo Yale Yale sikuzote, maana syllabus ndo Ile ile haijabadilika so hakuna kipya, usiogope kikubwa uvumilivu na nidhamu katika kipindi chote utakachokua kikosini.
Kunasiku nilirudi home sina kitu kabisa na nikamwambia wife kua leo mambo mabaya akasema frsh, tukala chakula cha usiku then tukaangusha, chakushangaza asubuhi naamka ananiomba ela ya kwenda kusukia....
Aiseeee! Nilimkata kelebu moja matata Sana.
Fireteam-Corporal
Section-Sergeant
Platoon-lieutenant
Company-captain/major
Battalion-lieutenant colonel
Regiment/Brigade-Colonel/Brigadier Gen
Division-Major Gen
Corps-Ltn Gen
Field Army-General
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.