Recent content by kapsuz

  1. K

    Jinsi ya kutengeneza hair removal wax nyumbani

    Jinsi ya kuitumia ni vipi? miss zomboko
  2. K

    Genc Toilet Perfume: Fanya Choo/Bafu yako inukie saa 24

    Dah kinyerezi mbali. M nipo karagwe. Napenda sana manukato ya chooni
  3. K

    Kwa waliokuwa wanakula Pizza Mgahawa wa Uchumi Supermarket

    Wasiojua utamu wa pizza ndio wamekaa kupiga makelele. Mpenda Piza mwenzangu siku ikienda Zanzibar usiache kufika Forodhani ujipatie piza matata kwa elfu4 tu
  4. K

    Samsung galaxy S4

    nikushauri tu. usiangalie sana bei chee angalia na ubora wa simu. kwanza fanya utafiti ujue mpya inauzwaje. ndo uende kununua used na ununue simu yenye warranty coz ikiharibika hupati tabu yoyote. kuliko kununu simu haina warranty itakugharimu sana. kioo tu chenyewe ni lak3
  5. K

    Ajali daraja la Kawe/Mlalakuwa

    Max jamani, it is so sad. R I P Max
  6. K

    Kama hujajua kama umepata LOANS from HESLB tupia form index no usaidiwe

    s1049/0024/2010. naomba kuangaliziwa hiyo kama nimepata mkopo
  7. K

    Msaada jamani wa best english novel stories

    kuna moja inaitwa THE GREEK TYCOON ya mills and boon ni nzuri sana hutotaka kukiachia.
  8. K

    Msaada wa haraka kwnye ngozi yangu ya uso

    tumia revitol scar remover ni nzuri sana lakini gari. ni kati ya 95 mpk 110000
  9. K

    Mwanamke hachungwi

    hiyo inaitwa tricks of women naipenda sana hiyo movie.
  10. K

    Msaada wa chumba cha kupanga

    Maula mrs. Namba uliyonipa nilimpa mtu alikuwa anakitaka kile chumba cha kimara baruti lkn kasema . Kuna dada anapokea na anasema hahusiki ya upangishaji wa vyuma. Sijui ukikosea
  11. K

    Msaada wa chumba cha kupanga

    mie kwa kweli nimejaribu kuangalia mazingira ya nyumba za town yan sinza, ubungo, kijitonyama mpk kinondoni naona sitomudu mazingira yake si mazuri sana, afu ghali bora nikaishi kibaha kwa nafasi
  12. K

    Msaada wa chumba cha kupanga

    asante mkuu, nakupigia soon
  13. K

    Msaada wa chumba cha kupanga

    sinza single chini ya laki moja utapata kizuri tu
Back
Top Bottom