Wasiojua utamu wa pizza ndio wamekaa kupiga makelele. Mpenda Piza mwenzangu siku ikienda Zanzibar usiache kufika Forodhani ujipatie piza matata kwa elfu4 tu
nikushauri tu. usiangalie sana bei chee angalia na ubora wa simu. kwanza fanya utafiti ujue mpya inauzwaje. ndo uende kununua used na ununue simu yenye warranty coz ikiharibika hupati tabu yoyote. kuliko kununu simu haina warranty itakugharimu sana. kioo tu chenyewe ni lak3
Maula mrs. Namba uliyonipa nilimpa mtu alikuwa anakitaka kile chumba cha kimara baruti lkn kasema . Kuna dada anapokea na anasema hahusiki ya upangishaji wa vyuma. Sijui ukikosea
mie kwa kweli nimejaribu kuangalia mazingira ya nyumba za town yan sinza, ubungo, kijitonyama mpk kinondoni naona sitomudu mazingira yake si mazuri sana, afu ghali bora nikaishi kibaha kwa nafasi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.