Msaada wa chumba cha kupanga

Msaada wa chumba cha kupanga

Nilitaka kuupload pic but nimeshindwa ili muone
 
mie kwa kweli nimejaribu kuangalia mazingira ya nyumba za town yan sinza, ubungo, kijitonyama mpk kinondoni naona sitomudu mazingira yake si mazuri sana, afu ghali bora nikaishi kibaha kwa nafasi
 
Maula mrs. Namba uliyonipa nilimpa mtu alikuwa anakitaka kile chumba cha kimara baruti lkn kasema . Kuna dada anapokea na anasema hahusiki ya upangishaji wa vyuma. Sijui ukikosea
 
Mimi kwa sasa kuna mtu bado lakini mpaka august ndio mkataba utakwisha. Lakini bei yangu mimi ni laki na themanini chumba na baraza na choo chako na bafu lako ila jiko la kushrae. Nyumba ipo ndani ya gate na mazingira ni safi sana na nyumba inatazama bara bara ya changombe
kwa maongezi zaidi tuma private message au kama utakuwa umepata pengine hakuna neno. Mimi sio dalali ni mwenye nyumba
 
Ipo mikochen pale maeneo ya dolphin,
nyumba ya chumba kimoja na sebule,
choo cha ndani na parking ya gari mbili,jiko,
na ki garden kwa nyuma.
tsh. 250,000/= per month.
if interested holla back: 0715547184

Kodi miezi 6 unachukua?
 
Mimi kwa sasa kuna mtu bado lakini mpaka august ndio mkataba utakwisha. Lakini bei yangu mimi ni laki na themanini chumba na baraza na choo chako na bafu lako ila jiko la kushrae. Nyumba ipo ndani ya gate na mazingira ni safi sana na nyumba inatazama bara bara ya changombe
kwa maongezi zaidi tuma private message au kama utakuwa umepata pengine hakuna neno. Mimi sio dalali ni mwenye nyumba

Nimejaribu kukuPM bila mafanikio,tafadhali nahitaj PM yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom