Recent content by Kapserin Un

  1. Kapserin Un

    Msaada Jinsi ya kupata antivirus

    Mwl.RCT naomba nirushie hiyo kitu PM mkuu
  2. Kapserin Un

    Samsung Galaxy S4 (clone) nauza kwa laki 3

    Mkuu mizigo ikija tena tushtue
  3. Kapserin Un

    HEMED KIVUYO wa ITV

    Dogo ni mbunifu, yuko vizuri sana,na kwa nahau ndio kiboko. Wanahitajika wengi wa namna hii sio mtu anasoma tu
  4. Kapserin Un

    Demu kauloga uume wangu. Msaada waungwana!!

    Pima na kisukari pia, nasikia hii kitu ina uhusiano mkubwa sana na haya matatizo ya erection. Fanya body check up mkuu, inawezekana kuna walakini somwehere
  5. Kapserin Un

    Msaada tafadhali, hali ni tete

    Pimeni ngoma, tena hakikisha unaenda nae maana wewe ukipima kwa sasa hutaona kitu kwa sababu ya ile kitu - window period
  6. Kapserin Un

    Tabia ya Mume inanitesa

    Mwanamume hanuni kwa mkewe aisee, au hawa ndo wale vijana wakiume wanaojisifia uzuri wa sura? Ila kwa ushauri, ashirikishe wazee wa kiroho, inawezekana huyo kijana ana pepo au jini mahaba
  7. Kapserin Un

    Mazishi ya Advocate Nyaga Mawalla utata mtupu

    Kama Marehemu alishaanza kukataa watoto ni kasheshe maana kunaweza kuwa na sintofahamu juu ya watoto kwenye will. DNA proof inaweza kuhitajika hapo baadae na ndugu wa karibu (siblings) watakuwa ni muhimu katika kutoa comaparative samples za DNA. Ndio maana wahenga walisema - Damu ni nzito kuliko...
  8. Kapserin Un

    Umri gani ni mzuri mtu kuoa ?

    Sasa akioa akiwa 40 si watoto watakuwa wanamwita babu? Ni vizuri aoe mapema ili aweze kulea watoto akiwa bado ananguvu, na anapochoka na watoto nao wameshajitegemea. Just imagine mtu uko 60+ ushastaafu au kujichokea na watoto ndo kwanza wako sekondari, ni headache. Aoe mapema (Below 35 yrs)
  9. Kapserin Un

    Jamani nisaidieni, Pepo Kali la Ngono linanimaliza...

    Huna pepo la ngono, una a medical condition ambayo inaweza kutibika ukapona kabisa, hii kitu inaitwa nymphomania, mtafute psychiatrist anaweza kukusaidia. Pia jaribu kujichunguza kama una hypomania traits, hawa ni watu ambao wana type A personalities - high work rates, smart kichwani, fighters...
  10. Kapserin Un

    Msaada wa mawazo jamani!

    Dah, kijana umeremba sana. Mtoto ulitakiwa ummege siku ileile ulivyokualika kwao, halafu kesho yake ujitete kwamba it was a mistake etc Be a bad boy, unavyokimbiakimbia na kunatanata ndio mtoto anafall zaidi maana unaonekana sio mhuni na akikupa ataweza kukimiliki kikamilifu
Back
Top Bottom