Msaada wa mawazo jamani!

Msaada wa mawazo jamani!

Naona unachezeya Mzimu wa Hitler na NAZI!!!!!!!! Waulize wayahudi na waholanzi! Ngoja unyanganywe passport na huwi deported wala nini, lazima uoe tena baada ya kusign Prenap kali sanaa! Ohoooooo!

Alafu kusoma hujui hata picha huoni, wewe umejiweka close na huyo dada afu utegemee asifall kwako kweli? Na utepe umeukata mwenyewe!!!!!!!! Kuwa na ubinadamu kidogo!

Fanya upate hayo makaratasi bwana! Bahati ilioje afu unairingia! Urudi huku kufanya nini wakati wenzio tumejaa na hakukaliki! Kuwa kama wahindi banisha huko huko Munich au sijui wapi huko! Utuvute na sie ndo njia pekee ya kuondoa umaskini Bongo huku!
 
kwa mujibu wa awachangiaji, kumbe inaonekana ni hadithi ya kusisimua! mi nilianza kuisoma nilipofika kwenye lugha ya kijerumani nikaghairi kuendelea.
kumbe ilimalizika kwa kiswahili?
 
umeingia kwenye kifoooooo...harufu ya risais inanukia tena umekula ngozi halafu usepe kazi kwelii...ila msingiii endeleza tuu coz umekwepa ukakwama mwisho wa siku....lakin je tz ujaacha mdada?????
 
Daaaah..naona umepeleka uswahili wako ujerumani..wazungu hawa complicate kwenye mapenzi sijui...kupiga dem mpaka awe demu wako ama vitu kama hivyo..bhana..huonagi hata kwenye muvi..?aisee...ebana wewe umeyataka mwenyewe so deal withit..nachofahamu kuhusu wajerumani wanachukia sana waafrica kunawengine hawajawahi ona mwafrica toka amezaliwa so sam tyms mitaa mingine wanaua waafrica..hii nimeiona frankfurt..sasa wewe jamaa..na hao watu..we jibebeee tu goma la kizungu lilete uswazi kwenu mpango mzima..tu..yan
 
Hapana chezea wajerumani nna rafk yng alikuaga huko akamdate demu hvohvo akijua akirud huko mapnz yataishia hukuhuko aft a year kupita kbs yule dem kaja na amemvuruga hatar alishakuwa na dem kbs bt amelazimika kumwacha mana huyo mzungu alikuja kupanga pemben ya hom kwao na mpk til today kamganda jamaa now hana jinsi ameamua kuwa nae tuuuuu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
na wajerumani walivyo?

Mzimu wa Hitler utashughulika na wewe.

Sasa huwa mnakomyuniketije? Kijerumani kigumu mbona?

Ha ha ha.... Kongosho umenivunja mbavu.....kuona Hitler tu hapo mwenyewe nimetetemeka.....Huyu jamaa hamjui Hitler vizuri eeeh.....
 
Last edited by a moderator:
kwani hutaki makaratasi wewe angalia bongo juakali japo una elimu yako lakini tizama familia utakayokua nayo ukiwatoa mamtoni utawapunguzia shida ya maisha
 
Dah, kijana umeremba sana. Mtoto ulitakiwa ummege siku ileile ulivyokualika kwao, halafu kesho yake ujitete kwamba it was a mistake etc Be a bad boy, unavyokimbiakimbia na kunatanata ndio mtoto anafall zaidi maana unaonekana sio mhuni na akikupa ataweza kukimiliki kikamilifu
 
Mdogo wangu kweli umeniuzi kwa kushindwa kirahisi hivyo, kwanza unasoma kozi gani? achana na hayo narudi kwenye mada,sex sio kwa ajili ya kupoza mtu. kuwa boyfriend si lazima ufanye naye ngono, ungemkubaria uwe BF wake kwa sharti la kutofanya ngono naye, na siku ya mwisho ungeleta heshima kwa watanzania wote, ukweli ni kwamba wewe pia ulimtaka kimapenzi, na kama ni hivyo ungemwambia pia, mimi ni mkristo nimekaa na mchumba wangu kwa miaka 5 kabla sijamuoa bila kufanya naye sex, sex ni udhaifu mkubwa sana wa wanaume, nimeumia sana kumchezea msichana wa watu then huna hata mpango wa kumuoa, the biblical principle of sowing and reaping is still working up to now, naomba umueleze ukweli ili uepukane na laana ya kupata mke atakaye kuja kukutesa na kukuumiza maishani,au kisaikolojia. chochote upandacho ndicho utakachovuna,mithali 6:2 Basi umetegwa/umefungwa na maneno ya kinywa chako na umekamatwa na maneno ya kinywa chako, hivyo nakuomba nenda ukajifungue kwa kumwambia ukweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom