Nachukia sana aina ya Utangazaji ya huyu dogo. Kulia sio kulia, kulalamika sio kulalamika, almradi mbwembwe na kuchamba kwingi.
Anaripoti utadhani anataka kukata roho!
Dogo yupo vizuri, mbunifu ile mbaya na mwingi wa weledi. Mtaalam wa misemo ya kiswahili, hukosi cha kujifunza anaporipoti. Watu washazoea TBC bora liende ndo mana.
Nachukia sana aina ya Utangazaji ya huyu dogo. Kulia sio kulia, kulalamika sio kulalamika, almradi mbwembwe na kuchamba kwingi.
Huyu anamuiga Mohamed Ally wa Jicho pevu.
Tatizo hiyo staili yake ya utangazaji huwa ni pale tu anapokuwa off-camera. Akiwa mbele ya camera anatia huruma kweli. Swaga zote hakuna.
Watoto wa Jwagwani watulivu mithili ya mnyama mwenye shingo ndefu Twiga wa pale mikumi.
Leo wameirarua bila huruma vijana wa mtaa wa msimbazi mbili kwa mtungi.
Vijana wa msimbazi kwa sasa ipo chini ya malkia wa sisimizi kama sio nyuki.
hata ww unaongea kishogashoga:sly: