Mungu kaumba binadamu kwa mfano wake,ni mengi binadamu tunatenda lakini ni kwa mapenzi yake,ujuzi wa wanasayansi,madaktari na wahandisi ni Mungu karuhusu
uwepo wao watende kwa niaba yake
Through his preaches to corrinthians also the Apostle Paul meant that when you become a man you learnt to distinguish childish and man's responsibilities
Kupitia Biblia-Takatifu 1Wafalme18:25 Mungu anadhihirisha kwamba ndiye ALFA &OMEGA kupitia Nabii Eliya pale sadaka yake inajibiwa tofauti na Mungu wa bahari, Ulimwengu kwa Mungu ni sehemu ndogo tofauti na tujikwezavyo!!!
Kiama kwa wanadamu ni mipango ya Mungu,tangu UUMBAJI hadi GHARIKA kipindi cha NUHU hadi nyakati tulizopo ni wazi kwamba mwisho wa dunia(Kiama) ni mauti kwa kila binadamu.Pamoja na kuruhusu binadamu kutawala vitu ama viumbe wengine lakini Mungu alituficha KIFO kitufikapo,yawezekana ni maksudi...
Wakati ni sasa baada ya mateso na kukandamizwa na utawala wa ccm watz tuna nafasi mikononi(kura) kufanya maamuzi tarehe 28/10/2020 kwa kuchagua viongozi makini wenye hofu ya Mungu wasiolewa madaraka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.