Ile siyo hospital ya cash isipokuwa kila mwenye kadi ya bima anaweza kutibiwa pale isipokuwa ukiingia mule lazima ufuate taratibu za pale siyo hospital ya kuingia kiholela ila haizuii mtu kutibiwa acheni kujazana ujinga na uzushi usiyo na faida.
Kwani we unadhani simba inatofauti gani na timu nyingine? Angalia ya nashujaa, green worries na ndanda , angalia kwenye mashindano ya FA wako wapi? Kwenye msimamo wa ligi kuu je? Simba ni timu ya mihemko tu wala hawana maajabu yyte
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulichokiandika ni kweli tupu, namkumbuka huyu mzee Mapanga Melele wa bandari , alikuwa mtu mmoja pouwa sana nayeye pia alikiwa bingwa wa kuzaa, sijui sasa kuna uhusiano gan na huyo mzee Mapanga Melele injinia?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.