Watumiaji wadgowa umeme tunaumia sana magufuli nia yake kwa wananchi ni nzuri sanaaa tatizo kila anaepewa sekta anataka atengeneze maisha yake kwanza hivyo mm nampongeza sana rais wangu.
Sent from my GT-I8190 using JamiiForums mobile app
Chukua gari upangiwe nyumba ila amini ya kuwa mkeo atagongwa buure kabisa hata pewa hata mkate ws bskhlesa na atapigwa show za kigaid na mpaka utazishuhudia kwa macho yako mawili.
Sio kweli mm nimeingia kfanya ibada takriban misikit yote ya posta sijaona msikiti unaombagua mtu kwa rangi yake kwani itikadi ya uisilamu ni kuwa muislam ndugu yake ni muislamu bila kujali rangi ama kabila.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.