Kuoana mkiwa bikra

Kuoana mkiwa bikra

Mi nilipata bikra Akawa Malaya tena ni mtoto wa Mchungaji, nikasema isiwe Shida nikaenda zangu dar nikachukuwa Malaya mkuu Leo ni mke wangu na Heshima zake,,Hata mungu pindi anamuumba malaika ambaye Leo Ni shetani hakujua kama badae atageuka kuwa Adui wake mkuu ,So watoto tu ndo Wanakomaa na bikra ,Nimesoma comment njamaa anakoment mpaka povu ,Ila ukikuwa utakuja kutusimulia hata,
 
U
Mi nilipata bikra Akawa Malaya tena ni mtoto wa Mchungaji, nikasema isiwe Shida nikaenda zangu dar nikachukuwa Malaya mkuu Leo ni mke wangu na Heshima zake,,Hata mungu pindi anamuumba malaika ambaye Leo Ni shetani hakujua kama badae atageuka kuwa Adui wake mkuu ,So watoto tu ndo Wanakomaa na bikra ,Nimesoma comment njamaa anakoment mpaka povu ,Ila ukikuwa utakuja kutusimulia hata,

Nilichozungumzia ni wanandoa kuanza kwa mara ya kwanza kufanya tendo la ndoa maishani mwao baada ya siku ya kufunga ndoa.

Faida zake nyingi sana.

Nimeandika haya kuwatia tu moyo vijana ambao bado fresh. Wasiwe na mtazamo finyu kuwa siku hizi ni michepuko tu, mapenzi kabla ya ndoa tu, kuonjana tu kwanza nk. nk

Nina miaka mingi tu kwenye ndoa, hata wazo la kufikiri kuchepuka halina nafasi kwangu. Zaidi sana sina pa kulinganisha, ninajua utamu wa mke wangu tu. Na sina mpango wa kujua mwingine ukoje.
 
Ushauri wa bure kabisa.

Kama kijana hujaanza kujua mwanaume au mwanamke yukoje. Jitulize usubiri utakapooa. Itakusaidia sana kwa kuwa utakuwa huna cha kulinganisha nacho, hivyo cha kwako ndicho kinakuwa the best.

Ukisikia mtu analalamika mke wangu hajui tendo la ndoa ujue ni kwa sababu analinganisha na wengine.
~ukiona mke analalamika mume ana uume mdogo jua kabisa ni kwa sababu analinganisha na mwingine.
~n.k

Wanadamu hatufanani na VIUNGO vyetu havifanani. Ukianza kujaribu jaribu tu ujue hiyo tabia itakuwa ngumu sana kuiacha.
 
Cjabahatika kupata dem bikra.. Kila naempata nakuta used tuuu.... This is BULL SHIIT...

Siwezi kuoa janamke used kamwe!! Labda NIFE.
Habari za kuambulia makombo ya shahawa za wanaume wenzio huo ujinga sitaki tena.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
We jitinze tu na bikra yako mwenza wako anatumika kama toilet paper ukioa anaanza kukufananisha na x zake wakati wewe ni brand new
 
gari mbovu huvutwa na nzimaa woote muwe hamjui mmmmmmmm
 
Ila Nasikia Kule Visiwani Bikra Zimegawanyika Mara Mbili...

Kwahiy Utaikuta Moja Wapo Nyingine ishatolewa
 
Cjabahatika kupata dem bikra.. Kila naempata nakuta used tuuu.... This is BULL SHIIT...

Siwezi kuoa janamke used kamwe!! Labda NIFE.
Habari za kuambulia makombo ya shahawa za wanaume wenzio huo ujinga sitaki tena.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Mkuu Pole, ila kwa experience hawa mabinti bado wapo tena wengine vyuoni kabisa degree. Nilikutana na wa kwanza 2013 nikazani utani baada ya kufungua yaliyomo nikagundua ni kweli na mimi ndio nikawa First King. Wa pili Last year nae nilijua anadanganya, kamaliza zake University, nikaingia kwa gia za kijasusi. Kwenye kufungua yaliyomo nikaprove alikuwa sealed kabisa.

Tatizo la hawa wanapenda vibaya mkuu, mengine sitaki kusimulia, ila ukweli ni kwamba ukituliza kichwa wapo wengi tu.
 
No No No!! ACHA UONGO!!

HIV is not transmitted through anal sex.
Virus huenezwa kwa mapenz ya kutiana kwenye **** tuu.. Na sio Mqunduni...

Ulisha ckia wapi shoga ana HIV.. Hakuna.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Kiwango chako cha ujinga kinastaajabisha. Unajua HIV/AIDS ilifahamiaka kama ugonjwa wa watu wa kundi gani miaka ya 80 Marekani na kwanini?

Ujinga wako ni wa kiwango cha lami. Badala ya kushinda FB na Instagram tumia internet kuongeza maarifa. Unatia kinyaa
 
Mwanaume bikira simtaki. Yaani ajifunzie kugegeda kwangu ,halafu field akafanye pengine na ajira akachukue pengine.
Sitavumilia huo ujinga.
Nahitaji kubuhu ambaye ameshamaliza field
dada sio ujinga balini mapitotu mtu kapitia...sema tu hutavumilia kuwa nabeginneratakupa shida unataka mzoefu ili asikupe shida...
 
mume bora namke bora...bikra hata ukiwa nae utagongewa tu ushahidiupo...so kikubwa tabia njema kwa wote uvumilivu heshima etc
 
Ukiwa hujui ladha ya viungo vya wengine ipo siku utataka tu uvionje.
Jirani yangu alioa bikira ila baada ya miaka 17 akamegewa tena na kijana wa mchungaji wake anaepiga kinanda kanisani.
 
Back
Top Bottom