Zihara ya Rais huratibiwa na kufuatwa kama ilivyopangwa na wahusika uhakikisha hakuna interference so unachokiona ni sehemu ya ratiba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kulikuwa na nia njema basi mitihani hii ingefanyika kabla hawajaingia gharama za kuanza kidato cha kwanza kwa serikali na wazazi na saikologia ya watoto . Napendekeza wawaache watawapata tu kwenye mchujo wa form II
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.