Sufiani juma nguli wa siasa za kimkakati na mitufuano akabidhiwe mikoba na mapochi ya comred makonda kolomije bashinde alisongeshe gurudumu la mama kizimkazi na hapa ipo
Wewe mwenyewe ni wale wale tu, mtu mpaka dunia ya leo unatoa wapi muda wa kuchat huo upuuzi na matapeli jifunze kupotezea mkuu sio lazima kujibu kila mtu
Ukitaka Kula madem wa uswazi tafuta wale masela wa kitaa akufanyie sab, ukiwa uswazi ukaleta mitikasi ya ki gentlemeni lazma wakukataee wakina ashura wanajua kabisa sio mtu wao
Hara chadema kuna pambalu hajuagi anazungumza nini sjui ilkuaje akawa mwenyekiti bavicha vyama vyote kwa sasa kuna waropokaji wengi kuliko wanasiasa na hii ndio changamoto tuliyonayo kwenye vyama vyetu vya siasa atlist Act kuna watu makini unaweza wasikiliza wakitoa hoja, ila cdm na ma ccm ni...
Tatizo unakalili maisha hakuna mfanano wowote katika mageuzi yoyote duniani ccm itatoka tu madarakani tena sio sababu ya uimara wa chama chochote cha siasa itakuwa ni maamuzi ya wananchi hawa mnaokesha kuwakatia umeme kila siku na kukandamiza haki zao, ipo siku mtashangaa sana kobe kuinua kichwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.