Wakazi wengi wa Uswahilini Dar es Salaam ni viumbe wa ajabu sana

Wakati nasaka job Dizim Miaka hiyo Dingi aliniombea Kwa rafiki yake kapanga Charambe.Mchizi alikuwa na mke na mtoto na alikuwa kapanga chumba msebule,so mm nlikuwa naegesha sebuleni wao na mtoto wao wa Miaka 2 walikuwa wanalala chumbani
Siku ya kwanza nikapewa maji Lita 5 asbuhi nkaoge Jamaa akaniambia nihakikishe namaliza Kila kitu maana maji shida,sikumzingatia.
Nkajimwagia chap nkatoka kama mnavyojua ilikuwa choo/bafu.
Nina desturi Moja nikiwa ugenini naweza Kaa hata wiki sikati gogo bt nkawa naona wapangaji wakiingia toi wanabeba maji na vikombe vya robo Lita,nkawa najiuliza vya nn?Vyoo ni vya kulenga na hata kama kingekuwa cha kumwaga maji,yasingetosha hata.

Kilichonifanya nidate nipale nlipogundua Wanatumia yale maji kujisafishia.
What the fuckkkkkkkkkkkk,nlitapika siku 3 kuwaza tu kazi inayohitaji maji zaidi ya Lita 5 mtu anaifanya Kwa maji ya kikombe Cha chai.
Si Bora turudi tu kwenye kutumia vibunzi!?
 
Kwanza nilianza utafiti wangu usio rasmi katika maeneo ya Feri, Mbagala, Mabibo, Kimara, Manzese, Tandale, Mburahati, na maeneo mengine kadha wa kadha ya Uswahilini. Niligundua na kujua vingi.

Cha kwanza: Wanawake wengi wa maeneo haya, na vibinti pia vya sekondari, wana udini mno na wengi wanatoa mapenzi kwa kujuana.

Utasikia wakisimuliana habari za wanaume, wakisema "yule Twaha anakuja kesho"., "kwani baba Iqi hajarudi?", na maneno kadha wa kadha. Majina yote ni ya upande wa pili. Siyo mbaya, ni nzuri kwani kila mmoja ana uhuru wa kuchagua.

Wanawake na mabinti ni malaya mno, hawana adabu kwa mama zao na kwa watu wengine. Vijana pia hawana adabu.

Cha pili: Wengi zaidi ya 100% hawana shule kichwani, yaani hawajaenda shule. Sababu kubwa ni uhuni, jeuri, kuharakia maisha, na ujuaji wanaouanza toka wakiwa vijana wadogo. Na waliojaribu kusoma wengi waliishia njiani. Wachache mno wamefika kidato cha nne.

Cha tatu: Wengi wana wivu kwa wageni hususani wanafunzi wa vyuo wanaokuja kusoma DSM. Wanapenda kuomba omba na wakinyimwa huanza fitina na majungu.

Cha nne:
Mkusanyiko wa tabia zote za kichawi upo huku. Roho mbaya,majungu, fitina vyote utavikuta huku. Ile tafsiri ya masikini kuwa na roho mbaya basi utaikuta huku.

Cha tano: Wengi wana vitambi na miili minene minene ilhali kazi na vipato vyao havieleweki. Najiuliza sana, wapi wanapata hela ya kula mpaka wananenepa wengi wao. Mavazi yao wengi ni chakavu ila miili ni minene. Najiuliza sana kuhusiana na hili.

Naomba niitenge Feri. Wengi wa pale Feri ni Wamakonde, kichwani hakuna shule, uchafu, mazingira wanayoishi ni duni ila nao wamenenepeana sana. Wanapata wapi pesa za kula vizuri?

Cha mwisho, wengi wanaoishi mazingira ya Uswahilini ikiwemo Feri ni kama si Watanzania, its just like zombies na serikali imewatelekeza, haina habari na wao.

Wanaishi kama wanyama mostly, vyakula ni miguu ya kuku na vichwa na ugali. Serikali iliangalie hili kwa mapana yake kwa kweli. Hali inatisha.

Wengi akili zao ni kama zimeruka, si wanawake, si watoto, si wanaume. Utagundua hili mara tu utakapoongea nao kwa mara hata ya kwanza tu.

Kuna siri ipi kwa hawa watu? Wengi sura zao zimechoka. Si wasichana wadogo, si vijana, si akina mama, wazee ndiyo usiseme. Ndugu zetu what's wrong with you?
Huo ni mfumo flani ambao umejengwa ndani ya dini flani na malengo flani ambayo ni ya kishetani. Kuwa mwangalifu na watu hao ni hatari sana na kila kitu kwao lazima wakifanye kwa ushirikina.
 
Kwanza nilianza utafiti wangu usio rasmi katika maeneo ya Feri, Mbagala, Mabibo, Kimara, Manzese, Tandale, Mburahati, na maeneo mengine kadha wa kadha ya Uswahilini. Niligundua na kujua vingi.

Cha kwanza: Wanawake wengi wa maeneo haya, na vibinti pia vya sekondari, wana udini mno na wengi wanatoa mapenzi kwa kujuana.

Utasikia wakisimuliana habari za wanaume, wakisema "yule Twaha anakuja kesho"., "kwani baba Iqi hajarudi?", na maneno kadha wa kadha. Majina yote ni ya upande wa pili. Siyo mbaya, ni nzuri kwani kila mmoja ana uhuru wa kuchagua.

Wanawake na mabinti ni malaya mno, hawana adabu kwa mama zao na kwa watu wengine. Vijana pia hawana adabu.

Cha pili: Wengi zaidi ya 100% hawana shule kichwani, yaani hawajaenda shule. Sababu kubwa ni uhuni, jeuri, kuharakia maisha, na ujuaji wanaouanza toka wakiwa vijana wadogo. Na waliojaribu kusoma wengi waliishia njiani. Wachache mno wamefika kidato cha nne.

Cha tatu: Wengi wana wivu kwa wageni hususani wanafunzi wa vyuo wanaokuja kusoma DSM. Wanapenda kuomba omba na wakinyimwa huanza fitina na majungu.

Cha nne:
Mkusanyiko wa tabia zote za kichawi upo huku. Roho mbaya,majungu, fitina vyote utavikuta huku. Ile tafsiri ya masikini kuwa na roho mbaya basi utaikuta huku.

Cha tano: Wengi wana vitambi na miili minene minene ilhali kazi na vipato vyao havieleweki. Najiuliza sana, wapi wanapata hela ya kula mpaka wananenepa wengi wao. Mavazi yao wengi ni chakavu ila miili ni minene. Najiuliza sana kuhusiana na hili.

Naomba niitenge Feri. Wengi wa pale Feri ni Wamakonde, kichwani hakuna shule, uchafu, mazingira wanayoishi ni duni ila nao wamenenepeana sana. Wanapata wapi pesa za kula vizuri?

Cha mwisho, wengi wanaoishi mazingira ya Uswahilini ikiwemo Feri ni kama si Watanzania, its just like zombies na serikali imewatelekeza, haina habari na wao.

Wanaishi kama wanyama mostly, vyakula ni miguu ya kuku na vichwa na ugali. Serikali iliangalie hili kwa mapana yake kwa kweli. Hali inatisha.

Wengi akili zao ni kama zimeruka, si wanawake, si watoto, si wanaume. Utagundua hili mara tu utakapoongea nao kwa mara hata ya kwanza tu.

Kuna siri ipi kwa hawa watu? Wengi sura zao zimechoka. Si wasichana wadogo, si vijana, si akina mama, wazee ndiyo usiseme. Ndugu zetu what's wrong with you?
Wana vitambi lakini sura zimechoka 😅
 
Wakati nasaka job Dizim Miaka hiyo Dingi aliniombea Kwa rafiki yake kapanga Charambe.Mchizi alikuwa na mke na mtoto na alikuwa kapanga chumba msebule,so mm nlikuwa naegesha sebuleni wao na mtoto wao wa Miaka 2 walikuwa wanalala chumbani
Siku ya kwanza nikapewa maji Lita 5 asbuhi nkaoge Jamaa akaniambia nihakikishe namaliza Kila kitu maana maji shida,sikumzingatia.
Nkajimwagia chap nkatoka kama mnavyojua ilikuwa choo/bafu.
Nina desturi Moja nikiwa ugenini naweza Kaa hata wiki sikati gogo bt nkawa naona wapangaji wakiingia toi wanabeba maji na vikombe vya robo Lita,nkawa najiuliza vya nn?Vyoo ni vya kulenga na hata kama kingekuwa cha kumwaga maji,yasingetosha hata.

Kilichonifanya nidate nipale nlipogundua Wanatumia yale maji kujisafishia.
What the fuckkkkkkkkkkkk,nlitapika siku 3 kuwaza tu kazi inayohitaji maji zaidi ya Lita 5 mtu anaifanya Kwa maji ya kikombe Cha chai.
Si Bora turudi tu kwenye kutumia vibunzi!?
Kmmmmk duuuuuuuh iyo ata araaaa ilikuwepo uswahilin
 
Kijana mjinga sana uliombaje utelezi kwa watu wa uswahili ?...Yaani wewe ni mpumbavu kma unaomba ngono kwa watoto wa uswahili ni mjinga kiwango cha juu hata elimu huna kwa ujinga huo😅😅


Wewe mwenyewe maisha yako magumu unaleta sifa za kijinga.
Mleta Mada hajui uchawi wa mabinti wa uswazi ni misosi tuu
Huku njaa Kali,😁😁😁
 
Kwanza nilianza utafiti wangu usio rasmi katika maeneo ya Feri, Mbagala, Mabibo, Kimara, Manzese, Tandale, Mburahati, na maeneo mengine kadha wa kadha ya Uswahilini. Niligundua na kujua vingi.

Cha kwanza: Wanawake wengi wa maeneo haya, na vibinti pia vya sekondari, wana udini mno na wengi wanatoa mapenzi kwa kujuana.

Utasikia wakisimuliana habari za wanaume, wakisema "yule Twaha anakuja kesho"., "kwani baba Iqi hajarudi?", na maneno kadha wa kadha. Majina yote ni ya upande wa pili. Siyo mbaya, ni nzuri kwani kila mmoja ana uhuru wa kuchagua.

Wanawake na mabinti ni malaya mno, hawana adabu kwa mama zao na kwa watu wengine. Vijana pia hawana adabu.

Cha pili: Wengi zaidi ya 100% hawana shule kichwani, yaani hawajaenda shule. Sababu kubwa ni uhuni, jeuri, kuharakia maisha, na ujuaji wanaouanza toka wakiwa vijana wadogo. Na waliojaribu kusoma wengi waliishia njiani. Wachache mno wamefika kidato cha nne.

Cha tatu: Wengi wana wivu kwa wageni hususani wanafunzi wa vyuo wanaokuja kusoma DSM. Wanapenda kuomba omba na wakinyimwa huanza fitina na majungu.

Cha nne:
Mkusanyiko wa tabia zote za kichawi upo huku. Roho mbaya,majungu, fitina vyote utavikuta huku. Ile tafsiri ya masikini kuwa na roho mbaya basi utaikuta huku.

Cha tano: Wengi wana vitambi na miili minene minene ilhali kazi na vipato vyao havieleweki. Najiuliza sana, wapi wanapata hela ya kula mpaka wananenepa wengi wao. Mavazi yao wengi ni chakavu ila miili ni minene. Najiuliza sana kuhusiana na hili.

Naomba niitenge Feri. Wengi wa pale Feri ni Wamakonde, kichwani hakuna shule, uchafu, mazingira wanayoishi ni duni ila nao wamenenepeana sana. Wanapata wapi pesa za kula vizuri?

Cha mwisho, wengi wanaoishi mazingira ya Uswahilini ikiwemo Feri ni kama si Watanzania, its just like zombies na serikali imewatelekeza, haina habari na wao.

Wanaishi kama wanyama mostly, vyakula ni miguu ya kuku na vichwa na ugali. Serikali iliangalie hili kwa mapana yake kwa kweli. Hali inatisha.

Wengi akili zao ni kama zimeruka, si wanawake, si watoto, si wanaume. Utagundua hili mara tu utakapoongea nao kwa mara hata ya kwanza tu.

Kuna siri ipi kwa hawa watu? Wengi sura zao zimechoka. Si wasichana wadogo, si vijana, si akina mama, wazee ndiyo usiseme. Ndugu zetu what's wrong

Kwanza nilianza utafiti wangu usio rasmi katika maeneo ya Feri, Mbagala, Mabibo, Kimara, Manzese, Tandale, Mburahati, na maeneo mengine kadha wa kadha ya Uswahilini. Niligundua na kujua vingi.

Cha kwanza: Wanawake wengi wa maeneo haya, na vibinti pia vya sekondari, wana udini mno na wengi wanatoa mapenzi kwa kujuana.

Utasikia wakisimuliana habari za wanaume, wakisema "yule Twaha anakuja kesho"., "kwani baba Iqi hajarudi?", na maneno kadha wa kadha. Majina yote ni ya upande wa pili. Siyo mbaya, ni nzuri kwani kila mmoja ana uhuru wa kuchagua.

Wanawake na mabinti ni malaya mno, hawana adabu kwa mama zao na kwa watu wengine. Vijana pia hawana adabu.

Cha pili: Wengi zaidi ya 100% hawana shule kichwani, yaani hawajaenda shule. Sababu kubwa ni uhuni, jeuri, kuharakia maisha, na ujuaji wanaouanza toka wakiwa vijana wadogo. Na waliojaribu kusoma wengi waliishia njiani. Wachache mno wamefika kidato cha nne.

Cha tatu: Wengi wana wivu kwa wageni hususani wanafunzi wa vyuo wanaokuja kusoma DSM. Wanapenda kuomba omba na wakinyimwa huanza fitina na majungu.

Cha nne:
Mkusanyiko wa tabia zote za kichawi upo huku. Roho mbaya,majungu, fitina vyote utavikuta huku. Ile tafsiri ya masikini kuwa na roho mbaya basi utaikuta huku.

Cha tano: Wengi wana vitambi na miili minene minene ilhali kazi na vipato vyao havieleweki. Najiuliza sana, wapi wanapata hela ya kula mpaka wananenepa wengi wao. Mavazi yao wengi ni chakavu ila miili ni minene. Najiuliza sana kuhusiana na hili.

Naomba niitenge Feri. Wengi wa pale Feri ni Wamakonde, kichwani hakuna shule, uchafu, mazingira wanayoishi ni duni ila nao wamenenepeana sana. Wanapata wapi pesa za kula vizuri?

Cha mwisho, wengi wanaoishi mazingira ya Uswahilini ikiwemo Feri ni kama si Watanzania, its just like zombies na serikali imewatelekeza, haina habari na wao.

Wanaishi kama wanyama mostly, vyakula ni miguu ya kuku na vichwa na ugali. Serikali iliangalie hili kwa mapana yake kwa kweli. Hali inatisha.

Wengi akili zao ni kama zimeruka, si wanawake, si watoto, si wanaume. Utagundua hili mara tu utakapoongea nao kwa mara hata ya kwanza tu.

Kuna siri ipi kwa hawa watu? Wengi sura zao zimechoka. Si wasichana wadogo, si vijana, si akina mama, wazee ndiyo usiseme. Ndugu zetu what's wrong with you?
Kimjaacho mtu ndicho kimtokacho, umasikini (wa akili) ndio unakusumbua.
Pili, inainekana una udini mbaya sana.
Tatu, inaonekana ndio kwanza umefika DSM ukaikuta picha tofauti na uliyoelezwa utokako.
Nne, unaonekana ndio umeingia chuo mwa wa kwanza.
Tano, inaonekana sio Mtanzania ndio maana una ubaguzi wa ajabu hata umediriki kusema sio ndugu zako.
Mwisho, inaonekana akili zako zinaendekeza zinaa(uzinzi)
Watu kama nyie mnaweza kuuwa
watu endapo mkapata uongozi.
 
Kwanza nilianza utafiti wangu usio rasmi katika maeneo ya Feri, Mbagala, Mabibo, Kimara, Manzese, Tandale, Mburahati, na maeneo mengine kadha wa kadha ya Uswahilini. Niligundua na kujua vingi.

Cha kwanza: Wanawake wengi wa maeneo haya, na vibinti pia vya sekondari, wana udini mno na wengi wanatoa mapenzi kwa kujuana.

Utasikia wakisimuliana habari za wanaume, wakisema "yule Twaha anakuja kesho"., "kwani baba Iqi hajarudi?", na maneno kadha wa kadha. Majina yote ni ya upande wa pili. Siyo mbaya, ni nzuri kwani kila mmoja ana uhuru wa kuchagua.

Wanawake na mabinti ni malaya mno, hawana adabu kwa mama zao na kwa watu wengine. Vijana pia hawana adabu.

Cha pili: Wengi zaidi ya 100% hawana shule kichwani, yaani hawajaenda shule. Sababu kubwa ni uhuni, jeuri, kuharakia maisha, na ujuaji wanaouanza toka wakiwa vijana wadogo. Na waliojaribu kusoma wengi waliishia njiani. Wachache mno wamefika kidato cha nne.

Cha tatu: Wengi wana wivu kwa wageni hususani wanafunzi wa vyuo wanaokuja kusoma DSM. Wanapenda kuomba omba na wakinyimwa huanza fitina na majungu.

Cha nne:
Mkusanyiko wa tabia zote za kichawi upo huku. Roho mbaya,majungu, fitina vyote utavikuta huku. Ile tafsiri ya masikini kuwa na roho mbaya basi utaikuta huku.

Cha tano: Wengi wana vitambi na miili minene minene ilhali kazi na vipato vyao havieleweki. Najiuliza sana, wapi wanapata hela ya kula mpaka wananenepa wengi wao. Mavazi yao wengi ni chakavu ila miili ni minene. Najiuliza sana kuhusiana na hili.

Naomba niitenge Feri. Wengi wa pale Feri ni Wamakonde, kichwani hakuna shule, uchafu, mazingira wanayoishi ni duni ila nao wamenenepeana sana. Wanapata wapi pesa za kula vizuri?

Cha mwisho, wengi wanaoishi mazingira ya Uswahilini ikiwemo Feri ni kama si Watanzania, its just like zombies na serikali imewatelekeza, haina habari na wao.

Wanaishi kama wanyama mostly, vyakula ni miguu ya kuku na vichwa na ugali. Serikali iliangalie hili kwa mapana yake kwa kweli. Hali inatisha.

Wengi akili zao ni kama zimeruka, si wanawake, si watoto, si wanaume. Utagundua hili mara tu utakapoongea nao kwa mara hata ya kwanza tu.

Kuna siri ipi kwa hawa watu? Wengi sura zao zimechoka. Si wasichana wadogo, si vijana, si akina mama, wazee ndiyo usiseme. Ndugu zetu what's wrong with you?
Duh.. mkuu!🙄🙄
 
Tuvulana tunato tokea huko dar hasa uswaz tukijaga mikoani huwa tunanichekeshaga sana vinaongea kama wanawake na story za kiboya kinoma utasikia mi diamond huwa nakaa nae meza moja bar. wakati huo ukikaangalia kamekaa kananyonga bangi, kamepauka kishenz kamevaa lujinsi luchafu balaa mguuni kamevaa ma yebo mbaya zaidi usoni kamepauka kama toka kametoka kwao dar hakajawai kuoga. dah hawa madogo bana
 
Back
Top Bottom