Recent content by kanyewes

  1. K

    Walituambia Umeme wa maji umepitwa na wakati, huku wao wanajenga na kupanua mabwawa yao. Wazungu wasanii sana

    Wazungu gani walisema hivo. Au yalikua ni maoni ya mzungu mmoja wewe ukaamua kujumlisha wazungu wote humo humo..
  2. K

    Elon Musk amezindua TESLA Cybercab na Robovan: Gari za kukodi zisizo na Dereva!

    Yah upo sahihi kabisa. elon musk ni mtu wa mawazo sio kutenda . Ana mawazo mengi sana ila karibu yote yanaishia kuwa mawazo tu na sio vitendo na uhalisia.
  3. K

    Elon Musk amezindua TESLA Cybercab na Robovan: Gari za kukodi zisizo na Dereva!

    Huyu jamaa ana projects nyingi sana ila almost zote ni maneno tu . Alisema atatengeneza miwani inayofanya vipofu waone, aliahidi atatengeneza magari yanayopaa kama ndege pia alisema gari zake za tesla zitaweza kutumika kama boti. Alisema atasafirisha binadamu laki moja kwenda sayari ya mars. Ana...
  4. K

    Vituo vya mafuta GBP kwanini mnakataa kutuuzia mafuta kwenye vidumu?

    Lakini sio sawa kuwalaumu GBP. Wao wamefata utaratibu ambao umewekwa na mamlaka inayosimamia wauza mafuta wote tanzania. Wewe pia kama mnunuzi fata utaratibu vipo vyombo special vya kuhifadhia petrol sio madumu ya plastiki
  5. K

    Tumwambiaje Lamine Yamal mbadala wa Tafuta hela?

    Yamal bado bwana mdogo anaela za kutosha na ni superstar mkubwa. Anauwezo wa kuvuta almost pisi yoyote anayotaka yeye. Lakini huyo dem hawezi tena kupata bwana supastar kama yamal ataishia kujilaumu tu kwanini kumcheat... Kwaio msimamo ni ule ule. Tutafute pesa. Pisi zipo nyingine.
  6. K

    Imani ya Mwarabu na Myahudi zinafanana kwa karibu sana, wote walimkataa Yesu ndio maana laana ya damu inawasumbua

    Sasa hayo ni mambo ya kiimani zaidi sio historical. Ukiwauliza waislamu na wakirsto na wayahudi yesu ni nani utapata majibu tofauti kutokana na imani zao. Wakristo watakwambia yesu ni mungu au mtoto wa mungu. Waislamu wanasema yesu sio mungu ila ni mtume kama mitume wengine. Na wayahudi...
  7. K

    Imani ya Mwarabu na Myahudi zinafanana kwa karibu sana, wote walimkataa Yesu ndio maana laana ya damu inawasumbua

    Kumuita yesu haimaanishi kwamba yesu ni neno la kiarabu. Unaweza kuwa mwarabu na kumuita yesu kwa lugha nyingine.
  8. K

    Imani ya Mwarabu na Myahudi zinafanana kwa karibu sana, wote walimkataa Yesu ndio maana laana ya damu inawasumbua

    Kitu ambacho watanzania kunawachanganya ni kwamba hamjui kuwa wenzetu hawaiti majina kwa kutamka tu ila kila jina lazima liwe na maana yake. Yasu sio kiarabu ni ki Aramaic. Jina la isah lina maana yake kwa kiarabu. Yasu au yeshua lina maana yake kwa ki Aramaic. Mfano mamake yesu anaitwa mariam...
  9. K

    Wanaume weusi tuhuma hizi ni za kweli?

    Ukiona mwanamke anasema anapenda mwanaume mweusi ujue uyo alishawahi kupenda light skin nigga na akapigwa heartbreak na sasa amehamia kwa black mamba akidhani huku ataonewa huruma. Na sisi black mamba hakuna huruma tunapiga heartbreak kama kawaida.
  10. K

    Irani na Israeli wana Undugu usioyumba, Makombora 300 ya Irani naona kama ni Propaganda

    Shida yako unajaribu kuchambua siasa za kimataifa kwa kutumia kitabu cha kale. Mbaya zaidi icho kitabu wenzako hata kukiamini hawakiamini. Izo kombora za iran kutokua na madhara ni kitu ambacho kimeshatolewa ufafanuzi. Iran wenyewe hawakutaka izo kombora zilete madhara makubwa ili israel isipate...
  11. K

    Waarabu wakija kushtuka, tayari watakuwa wamemalizwa kwa unafiki wa Iran

    Ni kweli Ila sasa cha ajabu hao mashia ambao mnasema ni makafiri leo hii ndio angalau wanawatetea wapalestina. Iran, wa huothi wa yemen, hezbollah wa lebanon ndo maadui wakubwa waliobaki kwa israel na wote ni shia. Hata hamas sio shia lakini misaada mingi wanapata kutoka kwa hezbollah na iran...
  12. K

    Tanzania haipo katika Orodha ya nchi zenye nguvu kijeshi duniani 2024

    Taiwan bajeti yao ya jeshi ni dola bilion 19 kwa mwaka. Tanzania gdp ya nchi nzima ni aroumd dola bilion 50. Yani bajeti ya jeshi la taiwan ni almost nusu ya uchumi wa tanzania. Usifkiri taiwan ni wenzetu. Sio wavunja matofali kwa kichwa hawa
  13. K

    Taifa la Israel ndio taifa ambalo haliamini Ukristo na habari za Yesu. Pia wengi wao hawaamini Uislam hata Ukristo

    Kingine ni kwamba hao wakristo waliokuepo Israeli karibia wote wana asili ya kiarabu/wapalestina. Yaani ni wapalestina wenye uraia wa israel sio wazungu
  14. K

    Marekani kupitia NATO anaweza kumshinda Vladimir Putin rais wa Urusi, lakini atakuwa hoi sana

    Sidhani kama mtu yoyote ambae ameifatilia hii vita anaweza kusema mmarekani amechoshwa au kudhoofishwa na putin. Hii vita ambayo wakati inaanza putin alisema itaisha ndani ya siku tatu sasa imepita zaidi ya mwaka na hakuna dalili za russia kushinda ndo kwanza washirika wake wanamgeuka. Wewe...
  15. K

    Tunapoichukulia poa Ebola hata kuiita majina yasiyojulikana ni hatari

    Najua hujaandika chochote cha mana ndo mana nimekuuliza inawezekana wewe unahisi umeandika kitu cha maana au kuna kitu serikali inajaribu kuficha afu wewe ndo umekigundua [emoji2] thats why watu tunatumia fake id kukujibu yani wanakuogopa[emoji38]
Back
Top Bottom