Wanaume weusi tuhuma hizi ni za kweli?

Wanaume weusi tuhuma hizi ni za kweli?

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
5,168
Reaction score
8,977
Au bidada ni mzushi?
Screenshot_20240421-074745_Instagram Lite.jpg
 
Ukiona mwanamke anasema anapenda mwanaume mweusi ujue uyo alishawahi kupenda light skin nigga na akapigwa heartbreak na sasa amehamia kwa black mamba akidhani huku ataonewa huruma. Na sisi black mamba hakuna huruma tunapiga heartbreak kama kawaida.
 
Ukiona mwanamke anasema anapenda mwanaume mweusi ujue uyo alishawahi kupenda light skin nigga na akapigwa heartbreak na sasa amehamia kwa black mamba akidhani huku ataonewa huruma. Na sisi black mamba hakuna huruma tunapiga heartbreak kama kawaida.
Haha...ni mwendo wa matukio tu..ataenda pumzika kaburini ndo hatokumbana na hizo heartbreak
 
Ukiona mwanamke anasema anapenda mwanaume mweusi ujue uyo alishawahi kupenda light skin nigga na akapigwa heartbreak na sasa amehamia kwa black mamba akidhani huku ataonewa huruma. Na sisi black mamba hakuna huruma tunapiga heartbreak kama kawaida.
usiseme sisi Black mamba sema mm black mamba. Yaani upumbavu wako unahalalisha wanaume wote?😂😂😂mkuu vipi tena wewe?!
 
Back
Top Bottom