Taifa la Israel ndio taifa ambalo haliamini Ukristo na habari za Yesu. Pia wengi wao hawaamini Uislam hata Ukristo

george aloyce

JF-Expert Member
Aug 22, 2017
1,177
1,825
WAAFRIKA WENGI huamini ISRAEL ina Wakristo WENGI SANA. Je, ulikua unajua kuwa, WAISLAMU ni wengi kuliko WAKRISTO pale ISRAEL? lakini pia, dini iliyo na wafuasi wengi ZAIDI ni WAYAHUDI ambao wao hawaamini kama YESU alishawahi kuzaliwa na kuishi tayari. Hawa ni ZAIDI ya ROBO TATU ya WAKAZI WOTE WA ISRAEL.

Wakristo ISRAEL ni wachache kama vile WAPAGANI hapa Tanzania walivyo wachache.

Mwanzo ulikuwa unaaminije?

Kama ulikuwa unaunga mkono vita vya ISRAEL na PALESTINA kwa sababu za kidini, basi endelea kuunga mkono huku ukiwa umeshaujua ukweli tayari , George, endelea kusoma historia ya maisha inaitwa jinsi maamuzi ya mzazi yanavoathiri afya ya akili ya mtoto, Uzi upo humu nishaupost

1696945696985.jpg
 
Kama walimkataa Yesu,ndio watakwenda Mbinguni?Wakati wanamwita Yesu ni mwanaharamu(mtoto wa nje ya ndoa).
hukumu ya Mungu itaanzia kwao, wengi watajiokoa kwa damu zao wenyewe kwa kuwa hawakuipokea neema iliyoshuka kwao. Hata yule mpinga kristo atatokea miongoni mwa kabila zao.

Msishangae sana kwa nini wakristo hawawalaani waisraeli, pia mjue kwa nini wanapitia sana nyakati ngumu. Kasomeni maandiko matakatifu ya kikristo mtapata ufahamu Mungu akiwafunulia siri hiyo.
 
Wakristo wa Bongo wanajipendekeza sana utawasikia "usipoibariki israel hutobarikiwa" utafikiri wana uwezo wowote wa kubariki!
Ukitaka kuwajua na wengine wanavyojipendekeza fuatilia suala la bandari, kwa kujipendekeza tu Mkrito haoni ndani wapo wenyewe vinara.
 
Hiyo mbona inajulikana na biblia imeandika masihi alikuja kwa walio wake lakini walimkataa na akaenda kwa mataifa wakampokea. Pamoja na hayo jamii ya wakristo haina chuki na wayahudi, wanaombea na kuwabariki
Wayahudi wanabarikiwa na Wakristo na sio Mungu?
 
Kama walimkataa Yesu,ndio watakwenda Mbinguni?Wakati wanamwita Yesu ni mwanaharamu(mtoto wa nje ya ndoa).
Walimkataa, wakamtundika msalabani wakiapa damu yake na iwe juu yao na vizazi vyao, ndio maana unaona hawana utulivu maadui zao wanawasumbua kila mara. Atakapokuja Yesu kila jicho litamuona, hao waliomkataa watatubu na kukiri makosa yao, watapata msamaha na mbinguni wataenda kwa gharama kubwa
 
WAAFRIKA WENGI huamini ISRAEL ina Wakristo WENGI SANA. Je, ulikua unajua kuwa, WAISLAMU ni wengi kuliko WAKRISTO pale ISRAEL? lakini pia, dini iliyo na wafuasi wengi ZAIDI ni WAYAHUDI ambao wao hawaamini kama YESU alishawahi kuzaliwa na kuishi tayari. Hawa ni ZAIDI ya ROBO TATU ya WAKAZI WOTE WA ISRAEL.

Wakristo ISRAEL ni wachache kama vile WAPAGANI hapa Tanzania walivyo wachache.

Mwanzo ulikuwa unaaminije?

Kama ulikuwa unaunga mkono vita vya ISRAEL na PALESTINA kwa sababu za kidini, basi endelea kuunga mkono huku ukiwa umeshaujua ukweli tayari , George , endelea kusoma historia ya maisha inaitwa jinsi maamuzi ya mzazi yanavoathiri afya ya akili ya mtoto , Uzi upo humu nishaupost


View attachment 2777864
Si kweli,wanakubali Yesu Alikuja,akaishi,akasulubiwa,isipokuwa hawakubali kuwa ni masihi.Pia waislamu ni wengi kwa kuwa walitumia jihad kueneza dini yao (project ambayo humu ilishaelezwa sana)
 
Nabii hakubaliki kwao,
Yesu alisulubishwa na wayahudi,
Asilimia kubwa ya dini zilizopo Israel ni za kiyahudi, ukristo ni kidogo,uislamu pia upo ila zaidi ya 85%NI UYAHUDI
 
Kingine ni kwamba hao wakristo waliokuepo Israeli karibia wote wana asili ya kiarabu/wapalestina. Yaani ni wapalestina wenye uraia wa israel sio wazungu
 
Walimkataa, wakamtundika msalabani wakiapa damu yake na iwe juu yao na vizazi vyao, ndio maana unaona hawana utulivu maadui zao wanawasumbua kila mara. Atakapokuja Yesu kila jicho litamuona, hao waliomkataa watatubu na kukiri makosa yao, watapata msamaha na mbinguni wataenda kwa gharama kubwa

Lakin kwani yesu kukaa msalabani kuna mtu anapata dhambi maana c iliandikwa lazima Akae msalaban hili wakristo wapone dhambi zao za asili mkuu

Tena inabidi tumpe cheo cha juu sana Yuda iscariot kwa kufanikisha mpango wetu et mkuu unaonane hiii
 
Wakristo wa Bongo wanajipendekeza sana utawasikia "usipoibariki israel hutobarikiwa" utafikiri wana uwezo wowote wa kubariki!
Yesu kipenzi chetu aliamua kupitia uyahudi. Paulo alikuwa myahudi, musa alikuwa myahudi, stephano alikuwa myahudi, samsoni alikuwa myahudi, magdalena alikuwa myahudi, yohana alikuwa myahudi, petro alikuwa myahudi, Daudi alikuwa myahudi, Soloman alikuwa myahudi.

NDIO MAANA TUNAWAPENDA HATA WAKITUTEMEA MATE NAKUTUBAGUA HATUTAACHA KUWAPENDA KWANI MATE YAO NI THAWABU NA BARAKA.
 
WAAFRIKA WENGI huamini ISRAEL ina Wakristo WENGI SANA. Je, ulikua unajua kuwa, WAISLAMU ni wengi kuliko WAKRISTO pale ISRAEL? lakini pia, dini iliyo na wafuasi wengi ZAIDI ni WAYAHUDI ambao wao hawaamini kama YESU alishawahi kuzaliwa na kuishi tayari. Hawa ni ZAIDI ya ROBO TATU ya WAKAZI WOTE WA ISRAEL.

Wakristo ISRAEL ni wachache kama vile WAPAGANI hapa Tanzania walivyo wachache.

Mwanzo ulikuwa unaaminije?

Kama ulikuwa unaunga mkono vita vya ISRAEL na PALESTINA kwa sababu za kidini, basi endelea kuunga mkono huku ukiwa umeshaujua ukweli tayari , George , endelea kusoma historia ya maisha inaitwa jinsi maamuzi ya mzazi yanavoathiri afya ya akili ya mtoto , Uzi upo humu nishaupost


View attachment 2777864
Vyovyote iwavyo chamoto mtakiona. Gaza itabaki kifusi.
 
Yesu kipenzi chetu aliamua kupitia uyahudi. Paulo alikuwa myahudi, musa alikuwa myahudi, stephano alikuwa myahudi, samsoni alikuwa myahudi, magdalena alikuwa myahudi, yohana alikuwa myahudi, petro alikuwa myahudi, Daudi alikuwa myahudi, Soloman alikuwa myahudi.

NDIO MAANA TUNAWAPENDA HATA WAKITUTEMEA MATE NAKUTUBAGUA HATUTAACHA KUWAPENDA KWANI MATE YAO NI THAWABU NA BARAKA.
Hongera
 
Back
Top Bottom