Swala siyo kuabudu,ukisoma biblia Kutoka 20:1-4 Neni la Mungu linasema usijifanyie ya kuchonga....JE RC WANAJIFANYIA SANAMU ZA KUCHONGA AU HAWAFANYI? na kama wanafanya hapo wamemtii Mungu au wamwmpuuza? Vilevile ameagiza kuwa tusivisujudie wala kuvitumikia, NAKUULIZA TENA JE UNAPOTENGENEZA...
Ingefaa sana wale wote walioingiza nchi hii katika mikataba mibovu kwa ajili ya matumbo yao wakijilimbikizia share kwenye miradi mbalimbali wakawjibishwa kwa madudu waloyoyafanya.
Kwa mwendo wa JPM anaweza kufanya mambo makubwa sana la msingi kama alivyosema yeye ni dereva mzuri hasikii kelele za abiria kweli ni bora afanye hivyo hata watangulizi wake yapo mambo ya kuwasikiliza na mengine azibe masikio.Unakuta MTU anajimilikisha maeneo makubwa ya kufugia bila hata...
Matatizo yote nchi yamechanhiea na mikataba mibovu ya kofisadi kwa manufaa ya watawala enzi hizo,watu wanajua hata kama hawasemi,Raisi JPM anapata shida sana kufumua huozo wa wengine,Mungu Amtie nguvu atimae taiga letu likombolewe.
NDUGU ULISHAWAI SIKIA KUWA VATICAN KUNAPATIKANA MADAWA YA KULEVYA? LAZIMA SERIKALI IFANYE KAZI YAKE MAMBO YA UDINI HAYO NI YA KWAKO TIHI SHERIA BILA SHURUTI,VINGINEVYO UTANYOOKA TU."HAPA KAZI TU".
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.