Recent content by kanjahni

  1. K

    Leseni ya kukopesha mikopo midogo midogo

    Nitafute naamini kuna mengi utajifunza , mimi nilishaifanya hii biashara pia ni nilifanya kwenye microfinance na uzoefu wa kazi zaidi ya miaka 5, Nifafute tuongee na kushauriana kadri nitakavyojaaliwa 0624848004
  2. K

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Hello !! Status .. job seaker Proffession.. experienced sales Industry...... Banking/ Microfinance products Education.. degree in Accounts and Finance Location... Dar es salaam , flexible to relocate Availability.. available soon Contacts: 0624 848004 , email kanjahni@gmail.com
  3. K

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Profession....... Accounting&finance , expert in MICROFINANCE skilled for different lending products Education University degree major Accounting&Finance Experience More than 5years in microfinance , ability to sales team training, formation and supervising Ability to multtask and...
  4. K

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Hello !! Out there pushing my interest for job in MICROFINANCE industry with below details Status... Looking for jobs Proffessionals.. microfinance industry, accounting and finance Experiences... More than five with different MFI's and different credit lending products ( group...
  5. K

    Atakayenisaidia kufungua microfinance ya kukopesha wajasiriamali nitampa pesa

    hello, nimeona concern yako tunaweza kusaidiana mawazo na kufanikisha hii, binafsi nimekua kwenye industry hii tangu 2008 na nimefanya mikopo mingi tofauti tofauti , kuanzia ya vikundi , watu binafsi, watumishi wa umma, mikopo ya dhamana za kuweka kadi ya gari na mikopo ya moto (( inaitwa hivyo...
  6. K

    Kama upo mtaani muda mrefu bila kazi, tatizo ni wewe!

    Trueth has been said , moyo mweupe kiroho safi we need to set up mind and change accordingly. Mwamba umeandika frsh na kwakweli haina haja ya kulaumu lets push till the last drop. Big up kaka, no matter what ukweli ni mchungu mzee baba Bless up !
  7. K

    Nafasi za kazi idara ya mauzo- Platnum credit Morogoro

    Habari, FURSA YA AJIRA KWA VIJANA NA WATUWAZIMA ELIMU KUANZIA - KIDATO CHA NNE NA KUENDELEA. PLATINUM CREDIT - KANDA YA MOROGORO Tunatangaza nafasi za AJIRA mpya idara ya MAUZO -KANDA YA MOROGORO ( GAIRO, MVOMERO,IFAKARA,KILOMBERO,MAHENGE/ULANGA,MALINYI,MLIMBA),Tunahitaji watu wenye uzoefu...
  8. K

    Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

    congrats I can see some sense of wise in your touches , may god bless independent wise minded people like you
  9. K

    Msaada: Nataka ujuzi katika biashara ya mobile money transfer

    kwanini hauhitaji kufanya kazi BANK!!! what went wrong with banks ................ why you just make peepl dem asking many questions before start to help you?? JE UPO TAYARI KUFANYA KAZI KWENYE MICROFINANCE ?? NAFASI HIYO YA AFISA MIKOPO? UPO MKOA GANI? NA UNAFIKIRI MKOA GANI UTAWEZA KUFANYA...
  10. K

    Natafuta kazi ya Afisa mikopo! Yeyote anayeweza kuniunganisha nitampa zawadi nono

    unaweza ukawa na nia nzur na uhitaji wa kazi lakini jinsi ulivyoiwasilisha ndipo kunakua na ukakasi, pia nahisi kuna vitu umepungukiwa navyo ndio maana unakua na ahadi ambazo kwa mtu mweredi wa kazi hiyo atashindwa kukusaidia, ushauri wangu ni kwamba kuwa professionaly hiyo ni kazi ya watu...
  11. K

    Past papers mock exams

    Habar wadau nahitaji msaada wa kupata past papers necta, mock(dsm, north zone, southern highland zone) , papers za Gcas, Na necta exams za masomo ya BAM, additional mathematics, basic math, na bookkeeping na accounts. Msaada please mwenye kuwa nazo ama atakaenisaidia mahali nnaweza...
  12. K

    Ujenzi wa ghorofa moja kigamboni SQ 1800

    Wazo zuri ila kwa kiasi hicho kaka ni bota ujenge nyumba ya chini vyumba vitatu standard itatosha lkn usijaribu na wasikurubuni watu hiyo pesa utaishia msingi imara na nguzo za kusimama tu hutofika mbali pesa itakukata.
  13. K

    Nahitaji tution kusoma bookkeeping

    Natafuta tution ama mwalimu anifundishe topics za control accounts, single entry nipo serious namba zangu 0716 866 241 napatikana dsm nipo seriously mahala popote nitakufuata,
Back
Top Bottom