Mfumo wetu huu ambao Rais anasikiliza zaidi chama chake kuliko watanzania kwa ujumla wao ni hatari sana. Tukiendelea hivi maendeleo ya kweli na kujikwamua kabisa kutoka makucha ya mabepari wa kimataifa HAIWEZEKANI. Lazima tubadilike haraka sana.
Huyu ndiye aina ya viongozi wanaoweza kuipaisha nchi hii kimaendeleo. Matokeo ya kazi zake yanaonekana waziwazi. Lakini natamani kasi ya miradi ya ujenzi ingeongezeka. Ktk mikataba makandarasi wabanwe na wawezeshwe kuzingatia muda na ubora wa barabara. Wafanye kazi usiku na mchana 24/7.
Kenya...
Nahisi kama tunakurupuka ktk suala la katiba. Sioni umakini na nia njema 100%. Hususan suala la rushwa, uongozi wa hovyo, mikataba ya rasilimali zetu na nation vision on earth n.k. Sijui ngoja tuone.
Hii ni hoja ya maana. I wish kila mtu angekuwa na mtazamo huu.
UOTE=Bongolander;8747621]Mkuu siku zote huwa napenda kuangalia uhusiano kati ya Rwanda na Tanzania beyond Paul Kagame na JK. Believe me hakuna ugomvi kati ya Rwanda na Tanzania, issue ya sasa ni ndogo sana.
Ni kweli PK ana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.