Recent content by Kangambili K

  1. Kangambili K

    CCM Lumumba kwachafuka, Vigogo wa UVCCM watimuliwa kwa ufisadi

    TAARIFA YA UMOJA WA VIJANA KWA VYOMBO VYA HABARI ILIOTOLEWA NA KAIMU KATIBU MKUU SHAKA HAMDU SHAKA KWA WAANDISHI WA HABARI AGOSTI 13 MWAKA 2016 JIJINI DAR ES SALAAM. Baina ya tarehe 12 na 16 Agosti mwaka huu mtu mmoja anayejiita kada na mwanachama wa CCM amekutana na vyombo vya habari pia...
  2. Kangambili K

    DAR: Jeshi la Polisi Kanda Maalum kuwachukulia hatua kundi la kisanii la Orijino Komedi

    Ifike mahakala nchi yetu hii ibadilike hass mambo yanayohusu sale za jeshi! Nchi nyingine mbona hakuna shidaa? Marekanj zinauzwa kabisa madukani! Nimeshangaa sana hapa Tz hata kupata bendera ya nchi ni proses ndefu mno
  3. Kangambili K

    Yericko Nyerere atinga Lumumba na kugawa nakala tatu za kitabu cha ''Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi''

    Nilipata bahat ya kukiona hicho kitabu kabla hakija printiwa kimsingi ni pumba tupu zilizomo ndani humo. Bwana Yeriko ameamua kumfuata bwana Evarist Chahali anachokiandika lakinu hamna kitu
  4. Kangambili K

    Hivi mapato ya mwezi Mei ni kiasi gani?

    Naomba kufahamu wana JF hapa hivi Mapato ya Ukusanyaji kodi yametangazwa kwa mwezi ulioisha jana? Maana huenda nimepitwa sijasikiaaa. Kwa mwenye taarifa kamili tafadhali.
  5. Kangambili K

    Diamond amkabidhi Makonda madawati 600 kwa ajili ya shule za jijini Dar es Salaam

    Nadhani ni mfano wa kuigwa. Diamond anarejesha kwa jamii. Napata shida sana kuona watu wqnambeza hata kwa hilo. Nilini watanzania tunatajifunza kukubali mchango wa vijana wetu? HATA MBUNGE WA ILALA HAJATOA MCHANGO HUOO
  6. Kangambili K

    Kwa ulinzi huu, Magufuli yupo salama kabisa

    Nina utaalamu kidogo wa maswla ya ukinzi nina Diploma ya Close protection leval3. Nitasema na kuchangia kitaalamu kidogo. Walinzi wengi wa Tanzania hasa wa viongozi wetu bado hawafuati taratibu na kanuni za ukinzi wa VIP unavyotakiwa kuwa kitaaalamu. Nikwamba viongozi wetu wanalindwa na mungu...
  7. Kangambili K

    Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete afiwa na kaka yake

    Kulikoni kwenye familia ya JK watu wwnakufa tuu. Juzi kati dadaake si alikufaa leo tena Kaka mtu duu
  8. Kangambili K

    Kivuko cha MV Magogoni chapoteza mwelekeo, abiria wajitosa majini

    Kile kimepelekwa Mafia mkuuu. Kitakuwa kinafanya shuguli zake huko
  9. Kangambili K

    Mvua kubwa yanyesha usiku huu jijini Dar es salaam

    Duuh na maradi ndio yanapiga usipime
  10. Kangambili K

    Mvua kubwa yanyesha usiku huu jijini Dar es salaam

    Yombo inapiga hatarii yan Umeme umekatika basi mtihani kweli
  11. Kangambili K

    Tuache Wivu kwa Nehemia Mchechu

    Nimekuwa nafuatilia mjadala hasa wa Rais Mtukufu bwana Magufuli kuhusu mishahara ya watumishi kuwa mikubwa. KIMSINGI Nadhani rais ana nia njema ya kujenga moyo wa uzalendo kwa watu ili watangulize maslahi ya Taifa kwanza na yao binafsi yaje baadae. Tatizo langu nikwamba watu wengi tumejikita...
  12. Kangambili K

    FIFA na FBI kuna ushirika gani?

    Naomba kujua wana jamvi. Hivi FIFA hua naona inakataza kupeleka migogoro ya michezo mahakamani. Sasa nikama miezi3 sasa naskia juuu shirika la ujasusi la Marekani FBI kufuatilia tuhuma za rushwa FIFA na vigogo kadhaa kutoewa akiwemo rais wa Fifa. Nataka kujua uhalali wa FBI kuichunguza FIFA...
Back
Top Bottom