Hao waliopata kura nyingi kwa kuishi falsafa za JPM ni kina nani? Tunaona waziwazi jinsi kina Bashungwa wanavyomkubali SSH na kwenda tofauti na JPM na wamepata kura za kutosha au unamwongelea askofu Gwaj boy? Kama alipata kura nyingi basi sawa. Hao wengine wote walishahama kwa JPM kwa asa wako...
Viongozi hao ni pamoja na Mh Mbunge wa Kawe......😂😂😂 unategemea nini...Songombingo lote lililotokea Kawe anaona ni sawa na anajiita mtumishi wa Mungu na ni Mbunge mteule...inakatisha tamaa na hii imesababisha hadi kufikiria sana kama kweli haya makanisa yako kwa ajili ya Mungu wa mbinguni au ni...
Huelewi na hutakaa uelewe,unataka kujiambia Wizara ni wajinga na unafikiri hawakuliona la Covid19? Walipotoa mwongozo wa ulipaji ada hawakujua kama form ziliandikwa kwa mwaka?
Nonsense
Shule zinaenda kufunguliwa tarehe 29 Juni, 2020 kama ilivyotangazwa na Mh Raisi JPM, wizara ya elimu ilitoa maelekezo ya ulipaji wa ada hasa shule za binafsi ( Private Schools) kuwa ada isipandishwe wala kipindi ambacho watoto hawakuwa shule wazazi wasilipishwe. Shule ya MUSABE iliyoko mkoani...
Shule zinaenda kufunguliwa tarehe 29 Juni, 2020 kama ilivyotangazwa na Mh Raisi JPM, wizara ya elimu ilitoa maelekezo ya ulipaji wa ada hasa shule za binafsi ( Private Schools) kuwa ada isipandishwe wala kipindi ambacho watoto hawakuwa shule wazazi wasilipishwe.
Shule ya MUSABE iliyoko mkoani...
Wanajamvi naamini mpo salama mkianza vizuri mwaka 2020 ambao tutaenda kufanya uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani.
Kilichonifanya niandike uzi huu ni kuwa, kumekuwa na slogan inayotumiwa na Mh Mbunge wa Nyamagana kuwa "Nyamagana ya Mabula" na imekuwepo sasa kwa muda hadi na T-shirts...
Yeye kuna sheria anazosimamia,waziri alitamka kisiasa.
RPC asingemjibu Mh Rais kuwa kuna sheria zinaniongoza,hekima ilitumika kumjibu. Angesema ukweli saivi angekuwa amebeba bunduki akilinda benki ya Posta.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.