Recent content by Kandambili1

  1. Kandambili1

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Pia kwa kuongezea....wakiuoiza challange za kazini kwako wanaexpect sana utoe suluhisho.. Mfano Mimi nioiuoizwa hivo nikamention changamoto ila maelezo niliselezea nitakavyosolve Mfano multiple selections niliitaka nikasema I will solve this challange by reviewing the selected andidates twice...
  2. Kandambili1

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Uwe na amani mkuu jina lako litatoka uvumilivu ni muhimu sana mkuu.
  3. Kandambili1

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Mkuu kwakweli nimeizoea ....utapata kidogo kitu pia mkuu...
  4. Kandambili1

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Harakati ziendelee ndugu zangu...Mungu awakumbuke wote mnaoendelea kuhudhuria interview mpate nafasi nzuri sawa sawa na subira zenu.
  5. Kandambili1

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Mkuu mkuu kwema
  6. Kandambili1

    JamiiForums Tanzania eFootball Special Thread

    Hahahaha marobot wazito wazito sio ? H
  7. Kandambili1

    JamiiForums Tanzania eFootball Special Thread

    Hahahaha pole yake....pack ya ufaransa ipo vyema sana alafu Ronaldo tumempata pale kwenye world championship daily event
  8. Kandambili1

    JamiiForums Tanzania eFootball Special Thread

    Nmejibu apo hoja zangu hahahaha
  9. Kandambili1

    JamiiForums Tanzania eFootball Special Thread

    Hiyo pack ya ufaransa nimeona Ina uzuri huu 1: kocha anaplaying style 2 pendwa possession na long ball counter 2: kocha anaongeza speed na ball control mfano mm O'Shea alikuwaa anafika speed 84 ila kwa kocha wa ufaransa anafika 86 3: mbappe 103, Dembele 102, Kante, olise na tchoumen wote wapo...
  10. Kandambili1

    JamiiForums Tanzania eFootball Special Thread

    Raha ya pack ya ufaransa ipo hapa
  11. Kandambili1

    JamiiForums Tanzania eFootball Special Thread

    Mamaster kwema
  12. Kandambili1

    JamiiForums Tanzania eFootball Special Thread

    Leo hamna fixture wakuu?...
  13. Kandambili1

    JamiiForums Tanzania eFootball Special Thread

    Mkuu Gilberto upo master?
  14. Kandambili1

    JamiiForums Tanzania eFootball Special Thread

    Master upo tupande?
  15. Kandambili1

    JamiiForums Tanzania eFootball Special Thread

    Gilberto_ mkuu tutapanda saa ngapi
Back
Top Bottom