Hongera sana ndugu yangu......Mungu akakusimamie kwenye majukumu yako, ulichosema ni kweli kabisa wasikate tamaa tu....
Ulisema kati ya interview 5 moja nitapita nikaja pita ya mwisho kabisa
Wakuu kwema....
Naomba niwatie moyo wote ambao bado mnajitafuta .....msikate tamaa wakuu wangu naamini mnauwezo, ujuzi na nyenzo zote za kuweza kupita interview za utumishi
Jiamini, na omba sana kwa Mungu afanye njia
Pia job description yako iweke pale chatgpt na Capilot AI zikupe multiple...
TANGAZO TANGAZOKwa waajiriwa tunawakumbusha Mshahara wa March utunzwe vizuri kwa Wivu mkubwa, kuna tafrija itakuwepo kwa Long Weekend kuanzia hapo 3rd April tutarejea kazini on 8th April.Tukitoka kwa Kaisari Thursday tutarejea the Next Wednesday.
Nimeitoa huko
Chakuzingatia zaidi ni hizo za taasisi hata kazi zikiwa 2 twendeni wakuu.... Maana unakuwa umeweka possibility ya kupata kazi sehemu 2 na ndio ilivyotokea kwangu na imelipa....God is good all the time
Habari wakuu...ushuhuda wangu ni huu... Nimefanya written interview 6 na mbili pekee ndio nikaenda oral ...moja sikwenda kwa sababu nafasi ilikuwa moja ...ya pili hii nikaenda japo nafasi zilikuwa hazizidi 3...
kwenye maandalizi yangu written nilisoma Ile job descriptions kwa undani nikawa kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.