Recent content by Kandambili1

  1. Kandambili1

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana ndugu yangu......Mungu akakusimamie kwenye majukumu yako, ulichosema ni kweli kabisa wasikate tamaa tu.... Ulisema kati ya interview 5 moja nitapita nikaja pita ya mwisho kabisa
  2. Kandambili1

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wakuu kwema.... Naomba niwatie moyo wote ambao bado mnajitafuta .....msikate tamaa wakuu wangu naamini mnauwezo, ujuzi na nyenzo zote za kuweza kupita interview za utumishi Jiamini, na omba sana kwa Mungu afanye njia Pia job description yako iweke pale chatgpt na Capilot AI zikupe multiple...
  3. Kandambili1

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    TANGAZO TANGAZOKwa waajiriwa tunawakumbusha Mshahara wa March utunzwe vizuri kwa Wivu mkubwa, kuna tafrija itakuwepo kwa Long Weekend kuanzia hapo 3rd April tutarejea kazini on 8th April.Tukitoka kwa Kaisari Thursday tutarejea the Next Wednesday. Nimeitoa huko
  4. Kandambili1

    eFootball Special Thread

    Mkuu samahani aiseh nlipitiwa na usingizi ndo nashtuka muda huu...nitaomba tucheze leo muda wowote.
  5. Kandambili1

    eFootball Special Thread

    NEGAN mkuu habari.....tunapanda saa ngapi?
  6. Kandambili1

    eFootball Special Thread

    Ni balaa aiseh hili suala la huyu ndugu...
  7. Kandambili1

    eFootball Special Thread

    Unanichota ili nijae mkuu...badae nitatulia sana nipate walau point 1
  8. Kandambili1

    eFootball Special Thread

    Hii banner kali sana mkuu....sema naona naenda kukuangusha 🤣🤣
  9. Kandambili1

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Chakuzingatia zaidi ni hizo za taasisi hata kazi zikiwa 2 twendeni wakuu.... Maana unakuwa umeweka possibility ya kupata kazi sehemu 2 na ndio ilivyotokea kwangu na imelipa....God is good all the time
  10. Kandambili1

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Habari wakuu...ushuhuda wangu ni huu... Nimefanya written interview 6 na mbili pekee ndio nikaenda oral ...moja sikwenda kwa sababu nafasi ilikuwa moja ...ya pili hii nikaenda japo nafasi zilikuwa hazizidi 3... kwenye maandalizi yangu written nilisoma Ile job descriptions kwa undani nikawa kama...
  11. Kandambili1

    eFootball Special Thread

    Hazard ni wamoto mno kwenye hiyo position ukimtrain
  12. Kandambili1

    eFootball Special Thread

    Nakutafitia badge ya fifa kocha .....hatuwezu kosa timu ya daraja hata la 3 uingereza
  13. Kandambili1

    eFootball Special Thread

    Edo kissy hakutokea mkuu... Leo nabamizwa si chini ya golin6 naona mkuu NEGAN huruma yako itumike
  14. Kandambili1

    eFootball Special Thread

    Oh kumbe bas afanye kuweka mmoja counter target mmoja amuache wazi wanabalaa hao
  15. Kandambili1

    eFootball Special Thread

    Hahahaha npo ndani na kandambili zangu.... napaa mkuu nafikiri nipo rank ya laki 140 kwenye pvp
Back
Top Bottom