Recent content by Kanda Wakamkanda

  1. K

    Kariakoo Derby: Simba SC 2 - 2 Yanga SC | Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara - Uwanja wa Taifa Dar

    Tafuta matokeo ya tarehe 20/2/2016 then tuambie ni raisi yupi alikuwa madarakani
  2. K

    Nahitaji laini yangu iunganishwe katika vifurushi vya chuo

    Kifurushi kipi cha mikopo? Au cha luku au cha bili ya maji??
  3. K

    Unafki wa karne wa Zitto Kabwe

    Bora angeenda kukaa na spika kuonyesha hayuko chadema wala ccm
  4. K

    TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

    Ni kweli inamaanisha hakuna nafasi ama hawachukui watu
  5. K

    Meneja Rasilimali watu

    Labda ukajaribu kuulizia kule magogoni
  6. K

    Degree 2014/2015

    Hapana pitia chuo afu uchague kifurushi cha kujiunga
  7. K

    Kupwa, kujaa na kuhama kwa maji ya bahari

    Hakuna hata sababu za msingi huwa inatokea tu kutokana na gravitational force
  8. K

    Msaada kuhusu TCU na NACTE

    Subiri wataalamu waje...
  9. K

    Kwa waliofanya application TCU

    Dead line ya kuapply tcu ni lini?
  10. K

    Kagame Cup, Dar es Salaam-Tanzania 2015 Special thread!

    Nimebeti mechi ya yanga na kmkm ila sijapata matokeo...wametoka ngapi kwa ngapi???
  11. K

    TCU wameachia Batch ya Pili Mpya kwa walioomba Vyuo mwaka jana na kusitisha

    Naomba kufahamu baada ya kuandika barua zinapelekwa wapi?? I mean ofisi zao ziko wapi???
  12. K

    Tanzania National Football Team (Taifa Stars) | Special Thread

    Timu iliyoenda kucheza south ni ya Tanzania ama Tanganyika?? Mbona siwaoni wachezaji visiwani au huko hakuna wachezaji???
  13. K

    Ligi Kuu ya Vodacom: Yanga Afrika vs Azam, 6 Mei 2015

    Hahahahahaaaa........route yenu itabaki kuwa dar to mbeya
  14. K

    Ligi Kuu ya Vodacom: Yanga Afrika vs Azam, 6 Mei 2015

    Huhuuuuuuuuu......viva azam viva...
Back
Top Bottom