Recent content by Kanazi

  1. K

    Wanaume katika kuchagua mwenza: SURA AU FIGA?

    Mwanamke ni upstairs bana,sura na figure tutavumiliana tu,afterall hizo variables mbili i.e. sura na figure sio za kudumu,baada ya muda flani huwa zinabadilika sana tena unaweza hata ukapanic ukidhani sio yuleyule aliyekuwa anakupagawisha
  2. K

    Msaada namna ya kutoka kwenye huu uhusiano.

    Pombe zikiisha urudi kuomba ushauri upya
  3. K

    Udom udom udom

    Kijana hatuko hapa ili kudanganya bali kujadili mada iliyoletwa jamvini.Km kuna kitu hakiko sawa unaweza kuni-criticize na sio kunisingizia uongo. Au unadhani chuo kuanza 2007 haiwezekani watu wakawa wanasoma PhD sasa hivi??!!
  4. K

    Udom udom udom

    Kijana nadhani unashindwa kuelewa mambo kwa upana wake,huwezi kutumia sample ya watu wawili watatu kufanya generalization km hiyo ya kwako. Kuna watu mimi nawafahamu walimaza UDOM na wako smart na kuna watu nawafahamu walimaliza UDSM<SUA n.k lkn hamna kitu.U-smart wa mhitimu largely inategemeana...
  5. K

    Watani zangu Waha mna matatizo gani kwenye ukombozi wa mkoloni mweusi?

    I was almost to respond to your rubbish,however, you don't deserve my answer as you are IQ is still extremely low than one can imagine
  6. K

    Wanawake Pasua Kichwa usiombe ukutane nao dunia inakuwa chungu!

    Kimsingi hilo tukio tunaweza kuchangia kwa mawazo mepesi tu coz we're not there and is less of our concern.Naelewa maumivu anayopitia huyo bwana,lkn kitu cha msingi ni kwamba hawa viumbe tumeambiwa tuishi nao kwa akili(source:co mm) ila inaonekana huyo jamaa haelewi sawasawa maana ya kuishi na...
  7. K

    Hivi Hawa Waume Za Watu Wake Zao Vipi Jamani????

    Naanza kuona dalili za kupokea mahali very soon....You are growing mama,try as much as you can to observe this dude called marriage before you jump in
  8. K

    Sijui,lakini nadhani wanawake wanaweza kutupa majibu juu ya hili ......!!!!!

    Binadamu ni very complex creature na co wanawake pekee hivyo ili kumwelewa lazima umsome contextually, matatizo ya ndoa yanatofautiana kutoka moja mpaka nyingine km binadamu wote tunavyotofautiana. Nina mashaka sana na hiyo sample yako,co kwa uwingi wake ila kwa pattern ya hitimisho iliyoleta.
  9. K

    20 Questions To Ask Your Potential Spouse

    Kwa mademu wa kiswahili ninaowajua,utapigwa kamba mpaka uchanganyikiwe,kitu cha msingi km ingekuwani mm,nisingeuliza hayo maswali direct kiasi hicho ila ninge-observe kwa kufanya kitu inaitwa "Participant observation" ambapo ningemuuliza hayo maswali indirect na very informally na angejibu...
  10. K

    Mtoto wa mbunge anataka kuvunja ndoa yangu, nifanyaje jamani!

    Tangu nimeishi sijawahi kukutana na ----- kukushinda ww. Ni hayo tu ndugu yangu
  11. K

    Dereva alieuliwa pale ilala ubungoni! Hizi ndio news zake!

    Mademu wa kiswahili ndivyo walivyo,wanadhani unaweza kula hela na muda wa mtu then umpotezee kiulaini tu!!Lazima akumalize kwa shaba.Wakati unakula hela zake unaona tamuuuu,lkn ukifika muda wa commitment unaona ugumu!!Mwaka huu, nyie na mama zenu; wanaowasaidia kusaliti badala ya kuwasaidia...
  12. K

    Maisha magumu, mabinti wanapenda mteremko.... tutaoa kweli....?

    Ulichokisema ni sahihi kijana.Kuna kijana wa karibu yangu juzi kati hapa alikuwa amepata mchumba ila walikuwa hata hawajaonana na wameunganishwa km wiki mbili tu tena kwa skype tatizo likaja kwamba yule binti si akaanza kutoa list ya matatizo ya kwao ili kijana ayasolve.Matatizo yenyewe yanacost...
  13. K

    pitia usiipuuze hii story ni muhimu na ya kweli kabisa

    Kijana naona sasa umekomaa kiakili,kisaikolojia na kimatendo.Nimefurahishwa sana na namna ulivyo-handle hilo tatizo,umeonyesha ukomavu wa ajabu ambao bila hekima ya kuzaliwa na rehema za Mwenyezi Mungu usingeweza. Kimsingi kisa chako kinafanana na tukio nililowahi kukutana nalo back when I was...
  14. K

    Mmetusema sana hatuolewi Na ndo tunaolewa sasa! Nani Kanuna?

    Mdogo wangu umeanza kukua sasa,I'm really happyyyyyyy........Nasubiri shemeji aletwe nyumbani na mm kaka mkubwa nianze ku-negotiate mahali for the first time on behalf of wazee........Keep it up,ila usiende kwa Mwingira anaweza kuharibu mpango kabla hata huyo mchumba mwenyewe hajapatikana
  15. K

    Husema simjali wala kumthamini nisipompatia pesa

    Mke mwema anatoka kwa Bwana kijana ila mume mwema anatoka CRDB,NMB,Stanbic,standard chartered,M-pesa n.k. km vp jivue gamba,they are almost everywhere co lazima awe yeye
Back
Top Bottom