MAMA kapata URais kwasababu ya Katiba yetu, aendelee kumshukuru. MUNGU kwa kuteuliwa hapo mwanzo kua makamu wa Rais bila hivo ingetuchukua labda karne kupata Rais mwanamke.
Vilevile sio kila jambo linatokea limefanywa na MUNGU hata shetani anakazi zake pia.
Tanzania ni nchi yenye raslimali nyingi halafu inawajinga wengi, hivyo kwa nchi kama China hiyo ni fursa kwao kuja kuchota kwa kisingizio cha uwekezaji.
Waafrica wapo wengi magenius ,sema waafrica tumejaaliwa roho ya ubinafsi na tamaa ndio hatusongi mbele.
Ukitaka kujua waangalie maprofesa wetu hapa kwetu wamesoma lakini ikitokea jambo ambalo lina maslahi kwa taifa hauwezi kuwasikia wakijenga hoja za maana
Mh.dr tajiri tumbo kubwa,mikoa inayolima pamba kwa wingi ni hii ifuatayo:-GEITA,SHINYANGA,TABORA(igunga dc)SIMIYU,MARA na SINGIDA kwa baadhi ya maeneo.na wengine wataongezea
nimekukubali sana mkuu uko vizuri kwenye marketing,kama kwenye huduma unafanya kwa uaminifu basi utafika mbali. nimechukua namba yako nitakutafuta mkuu nina mpango wa kusajiri upya kampuni ya ulinzi, ya awali nilisajiri jina la biashara ilikua muda kidogo by 2011.
ubarikiwe kwa maneno yenye akili kama wangepita askari wetu hasa wale wa PGO na game warders wakasoma uzi huu hakika naamini wengine wangebadirika tabia zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.