Baba, hayo madini yapo Tz pekee, wilaya ya Simanjiro pekee, hapo Mirerani tu. Kwa hiyo wacha ukuta ujengwe kwani sh . ngapi bana? Tumeibiwa mno, tumepuuzwa mno, wacha wajenge labda tutaokoa hii rasilimali yetu adimu. Jenga, jenga, jenga........ Bravo raisi wangu kwa uamuzi wa busara.