Kwa kawaida utaratibu wa NIDA, mwombaji anapokamioisha hatua za kuthibitisha makazi, Serikali ya Mtaa na Uraia, Uhamiaji hatakiwi kubaki na fomu wala kujitafutia fomu kwa ajili ya kukamilisha hatua yoyote ile ya Usajili.
Kutoruhusu kupiga picha ni moja ya hatua/njia ya kudumisha faragha ya...
Niliposoma uzi wa DC kuagiza PCCB kumchunguza DED tayari nikahisi kuna shida Geita.
Na sasa naona sababu ya safari imewekwa wapi. Naamini kuna mengi yatafuata hasa kwa aliyeanzisha mvutano huu kuwa public.
Mvutano wa DC vs DED, RC vs RAS, Waziri vs Katibu Mkuu ipo sana kama viongozi...
Naona kuna tatizo huko Geita, haiwezekani DED asafiri DC asijue.
Ni vigumu sana mtumishi wa umma kutoka katika Mkoa wake bila kibali sembuse nje ya nchi ambako anatakiwa kuwa na kibali cha Katibu Mkuu Kiongozi!
kwenda kukifunza nje si jambo jipya na duniani kote kuna sister cities.
Nafikiri...
Naona jazba imetawala kweli Vitambulisho vinachelewa lakini hao NIDA wanatoa Id's si kwa raia tu, kuna wageni, wakimbizi na walowezi. Usishangae kuona mhindi, mchina anacho.
Lakini kuna watu wa asili mbalimbali ambao sana uraia wa kuandikisha nao wanapata cha raia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.