Recent content by Kamkuki

  1. Kamkuki

    Siku za hivi karibuni ulinzi wa Makamu wa Rais umeongezeka

    Wote wahuni tu hao... Hakuna hata mmoja aliye tanguliza Utaifa mbele... Amphrey Polepole alitutahadharisha mapema lakini...
  2. Kamkuki

    Chanzo cha mvua za radi Dar es Salaam na Pwani

    Kwani Dar kwa sasa imekaribiana na Sumbawanga au....!!?
  3. Kamkuki

    Yule jamaa aliyekuwa anaigiza sauti ya Magufuli ulikuwa mradi wa Nani, na Kapotelea wapi?

    Contract ile ilifikia mwisho pale alipoondoka muhusika...
  4. Kamkuki

    Wataalamu wa vitasa vya milango ya mbao tupeni ushauri

    Ningechangia lakini ndo kwanza Msingi unajengwa...
  5. Kamkuki

    Wakati tunapinga Mkataba wa DP World wafanyabiashara walikuwa kimya. Gharama za bandari zimeongezeka kwa 500% hadi 700%

    Kwa hawa walio baka madaraka...!! Mbona ni wale wale, wote wana kashfa...
  6. Kamkuki

    Inachezwa chini ya maji mno

    Tunao mbona, ahachwi ntu... ....Nao sahani moya
  7. Kamkuki

    Updates: Vita vya USA-Israel vs Iran - Taarifa zangu za upande wa iran

    Watachutama tu, jeuri yote kwish'ney
  8. Kamkuki

    TAKUKURU yawafikisha Mahakamani Wabunge wawili wa Chato Kusini na Chato Kaskazini

    Hata mimi nimejaribu kujiuliza ivo ivyo, labda huenda bado ipo...!!
  9. Kamkuki

    Ingekuwaje kama Iran ndiyo imeanzisha vita kwa kuwaua viongozi wa Israel na kupiga mabomu shule ya chekechea?

    Walicho kifanya Israel na Marekani sio kabisa ni unyama uliopitiliza, ...Nitasimana na Iran hata kama itashindwa ni uonevu wa hali ya juu kabisa.
  10. Kamkuki

    ASKARI YUPO MATAA YA OPPOSITE NA SHERI YA PUMA FIRE ANACHUKUA RUSHWA 3000 KILA BAJAJI

    Tulikofikia kwa sasa tuna hali mbaya zaidi ktk suala la "RUSHWA"
  11. Kamkuki

    Watoto wa ndani ya Ndoa wapewe urithi zaidi ya watoto wa nje ya ndoa

    Braza Mshana, Kwangu iko ivo sasa... Kwa hiyo mi' sio Mtibeli au....!!
Back
Top Bottom