Ila Afrika inachangamoto nyingi sana zinazo sababishwa na watawala wa nchi hizi.
Kila kona ya afrika kuna sikika udhaifu na mambo ya kutisha yanayo filisi nchi hizo na kubinya haki za watu.
Sawali la msingi tunalo paswa kujiuliza sasa :
Je! Hu ndio wakati wa mabadiliko makubwa ya mifumo ya...
Uvamizi huo mchafu haukubaliki ,chombo huru cha habari kinanyememelewa kuvuruga uhuru wa wananchi ,Kwani wanataka kufinya haki za watu?? Na ni akina nani hao??
Unatakiwa kujibu hoja mbalimbali alizo zijenga kuhusu masuala mbalimbali yanayo endelea nchini Tanzania.
Alafu, Hivi wewe na Gwajima mkiwa mbele ya Umma wa Watanzania nani anaweza kupewa atention???
Acheni uongo ,Lissu ni kiongozi bora mwenye IQ ya ju ,Ndiyo maana CHADEMA kilimpa nafasi ya kupeperusha bendera 2020 Ku gombea kiti cha ju kabisa nchini petu cha urais.
Mengine mtsongea tu ,labda Kama mna jambo lenu
Ccm na watanzania wote tusikubali kuendekeza huu ubaguzi ,utatu cost Sikh za usoni.
Kama tulisha kubaliana mfumo was vyama vingi kwanini tunabaguana kwa misingi ya kisiasa???
Viongozi kama hawa ndiyo wanasababisha Trump na wazungu we wenzie wanatuzadharau ,inaaezekanaje Rais kujitengenezea sanamu ya mabilioni ili hali wananchi wake wengi wanaishi maisha mabovu???
Trump Hana nia njema na watu wenye asili ya afrika ,ndiyo maana katika utawala wake kulikuwa na matukio mengi ya watu wa asili ya afrika kuawa na polisi Marekani na serikali Ku to jari
Kumekuwa na utiririshaji wa majitaka ovyo maeneo ya Ubungo Riverside kuanzia maeneo ya Msikitini mpaka Kituo cha Kaladala karibu na Riverside Bar kuna harufu kali inayosababishwa na maji taka yanayotokana na shughuli mbalimbali za Wakazi na Wafanyabiashara wa maeneo hayo.
Ambapo inadhaniwa pia...
Hoja kamahizi huwa natamani hapa tunge kuwa na marais,makamu marais,mawaziri wote mabalozi wa wote ,na sisi wananchi tuanze kuwatwanga maswali ju ya mwenendo wa namna wanavyo lijenga bala letu la Africa.
Inafaa sasa tuanze kutengeneza mfumo wa mawasiliano ya Moja kwa moja na viongozi wetu hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.