Recent content by kamjabari

  1. kamjabari

    Mambo 17 yaliyosababisha kuuawa kwa Gadaffi

    Mwandishi amejitekenya na kucheka mwenyewe. Yaani uongo kwa miaka hii hauna nafasi kama miaka walau kumi iliyo pita. Jamii za sasa diniani zina hoji zaidi,zinadadisi mambo,zina uliza maswa kwa kina ili kujua mambo kwa kina zaidi . Hivyo Unge andika hata madhaifu matatu tu ya Gadafi ili...
  2. kamjabari

    Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

    Usalama wako upo hatarini ,ushauri acha wake za watu Kuanzia sasa na uoe wa kwako ili kuepuka kifo cha aibu kwa kuoigwa binduki auboanga
  3. kamjabari

    Kauli ya Rais Samia inaonesha Makonda kapewa baraka kuwaongoza viongozi wengine wote!

    Hicho ndicho kilicho mponza Magufuli na kisha kumbwaga Makonda mtaani. Yaani Mamasamia haoni ?
  4. kamjabari

    Hili la watu (wakiwemo viongozi) kudhalilishwa na Watanzania kufurahia linanishangaza sana

    Uhuru wa kutukana mtu haupo ,kwavyovyote vile hata sisi tusio ipenda ccm haiwezi kuwa jambo zuri kutukanwa na kumdharirisha mwanamke tena rais wa nchi vile . Na mbo haya hayajaanza leo kama mnakumbuka kipindi cha uchaguzi mkuu 2015 kulivulumishwa matusi makubwa dhiidi ya Lowassa kutoka kambi...
  5. kamjabari

    Nimeamini wanaume hawaaminiki

    Dah nimesoma kwa umakini nikidhani kuna maajabu! Mbona ni kawaida kabisa mme kumjari mke na nje anakula kama kawa!
  6. kamjabari

    Niliwaonya hapa hapa kuwa Kawaondoeni Ndugu zenu kwa akina Fally Ipupa na Ferre Gola kwani 'Namba M' hawana Masihara mkanipuuza

    Ndugu yangu katika dunia ya sasa ustaaalabu na haki ni kitu cha kupewa kipao mbele , Kitu wanacho fanya Mishilini na tatu sio cha kupuuzia . Kwahivyo uwepo wa jeshi kule DRC nipango mwema ambao unampendeza hata Mungu. Msingi ni kwamba akili itumike vizuri kuwadhibiti wenye tamaa ya kuiba...
  7. kamjabari

    Naombeni mwaliko wa kesho

    [/USER]
  8. kamjabari

    Uwepo wa Mikopo kwa SMEs Kutoka Taasisi za Kimataifa kupitia CRDB na NMB

    Ikiwa itakuwepo maranyingi riba zao huwa ndogo sana kama tunavyo ona serikali zinakopeshwa ,Ila shida inaweza kuwa ni bank zetu za ndani hasa CRDB &NMB sidhani kama fursa hiyo wataiachia kiulahisi maana wao riba na masharti yao ni mwiba mkali kwa sisi wajasiliamali.
  9. kamjabari

    Sasa nimeelewa ni kwanini mbunge wa Liwale alisema Bwawa la umeme Nyerere liko Liwale

    Unapoteza mada ,Tujadili Bwawa la Mwalimu Nyerere na faida zinazo weza kupatikana zaidi ya umeme
  10. kamjabari

    Hili swali kutoka kwa wanawake huwa limekaa kimtego Sana

    Uziri kwenye kutongoza sina wasiwasi wa wanaume wenzangu ,kwani huwa tuna ongea na kutoa majibu mazuri yenye mvuto ili mlengwa anase kiulaini. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  11. kamjabari

    Mke wangu ameleta msichana wa kazi aliyebarikiwa mzigo. Nifanyeje?

    Pigilia msumali ,, tena acha akishikeshike kijiti ili kimchome vizuri
  12. kamjabari

    Nahisi nina gundu maana sipati mpenzi

    Sina imani na maneno yako
Back
Top Bottom