Mwandishi amejitekenya na kucheka mwenyewe.
Yaani uongo kwa miaka hii hauna nafasi kama miaka walau kumi iliyo pita.
Jamii za sasa diniani zina hoji zaidi,zinadadisi mambo,zina uliza maswa kwa kina ili kujua mambo kwa kina zaidi .
Hivyo Unge andika hata madhaifu matatu tu ya Gadafi ili...
Uhuru wa kutukana mtu haupo ,kwavyovyote vile hata sisi tusio ipenda ccm haiwezi kuwa jambo zuri kutukanwa na kumdharirisha mwanamke tena rais wa nchi vile .
Na mbo haya hayajaanza leo kama mnakumbuka kipindi cha uchaguzi mkuu 2015 kulivulumishwa matusi makubwa dhiidi ya Lowassa kutoka kambi...
Ndugu yangu katika dunia ya sasa ustaaalabu na haki ni kitu cha kupewa kipao mbele , Kitu wanacho fanya Mishilini na tatu sio cha kupuuzia .
Kwahivyo uwepo wa jeshi kule DRC nipango mwema ambao unampendeza hata Mungu.
Msingi ni kwamba akili itumike vizuri kuwadhibiti wenye tamaa ya kuiba...
Ikiwa itakuwepo maranyingi riba zao huwa ndogo sana kama tunavyo ona serikali zinakopeshwa ,Ila shida inaweza kuwa ni bank zetu za ndani hasa CRDB &NMB sidhani kama fursa hiyo wataiachia kiulahisi maana wao riba na masharti yao ni mwiba mkali kwa sisi wajasiliamali.
Uziri kwenye kutongoza sina wasiwasi wa wanaume wenzangu ,kwani huwa tuna ongea na kutoa majibu mazuri yenye mvuto ili mlengwa anase kiulaini.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.