Recent content by Kamese B Magoti

  1. K

    Mbunge Lucy Mayenga apata ajali!

    Get well Soon! We need you,we miss u !
  2. K

    Tuition Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

    Sijafanya utafiti kujua ukweli wa taarifa hizo ila UWEZEKANO HUO UPO! Nimekuwa nikibadilishana mawazo na baadhi ya Waadhiri hapo MLIMANI wengi wanalia UKATA na CHUO KINAENDESHWA KISIASA ZAIDI TOKA MUKANDARA awe VC. Ina wezekana WAMEBUNI njia ya kujiongezea Kipato. Nasikia hata DARUSO siku hizi...
  3. K

    Msekwa Atoboa siri ya Butiama

    Msekwa hajachoka !!!!!! Tuna baadhi ya watu ambao wanajiita wanasiasa lakini hawana sifa yoyote ya kuitwa wanasiasa ! Siasa zetu zimevamiwa na watu wa majungu na waropokaji wengi sana. Sioni busara kwa wabunge kupiga kelele za ufisadi ,fedha chafu bila kwenda mbali na kutuambia ni kiasi...
  4. K

    Zitto ajutia kuingia kwenye siasa?

    Zitto anapenda siasa ila kajichanganya mwenyewe! Kilicho mponza ni Kupenda Siasa za kuzungumza na kufikiri baadaye! Waulize wanaomjua tangu DARUSO! Ugonjwa uliompata Zitto unaitwa "POLITICAL WITHERING" for unstrategic Politician !
  5. K

    Mzee Kawawa afariki dunia!

    Wana BOIZIA (Tabora School) tumepoteza mpiganaji Mzee wetu,Simba wa vita Mzee Rashid Mfaume Kawawa! Mzee Kawawa utaishi milele kwenye mioyo yetu japo umepumzika kimwili kwa sasa.Wana BOIZIA wenzangu mtakumbuka kuwa Mzee wetu Rashid Kawawa na Wenzake ndio waasisi wa ORCHARD enzi zile za Warsal...
  6. K

    Yanga kulilia Ufadhili wa Manji: Taswira ya Taifa letu, kutegemea Wafadhili!

    Mimi sishangai baadhi ya wana Yanga kulilia ufadhili wa Manji kwani hii imeshakuwa sehemu ya utamaduni wa Watanzania walio wengi! Manji ameeleza vizuri sana kuhusu malengo aliyojiwekea wakati alipoamua kuisaidia Yanga na sasa ameona ni wakati mwafaka kuiacha Yanga ijiendeshe yenyewe kwani...
Back
Top Bottom