analysti
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 729
- 612
SUA hakuna huo ujinga wa tuition tuition hadi university!! MUNGU atusaidie yalianza madesa tukasahau vitabu kwa visingizio vya ukata sasa jipu lizidi kuvimba waungwana wahitimu wa UDSM kemeeni hili madogo ndo wana chepuka njia hivyo kaaaazi kwelikweli
Jamani ni kweli, ni kwa nini wanataaluma wa UDSM wasiangalie wenzao wa SUA wanafanya vipi. Maana pale SUA kinachokuokoa ni kukaa Library au chini ya mtu na kupeleka msuli. Hakuna haya mambo ya aibu ya tuition. hii ni aibu kubwa kwa wanafunzi wa chuo kikuu kusoma tution.
Hili ni kweli lipo, Nenda pale Buguruni malapa, kuna kinjia kinaelekea kwenye dispensary ya kanisa la anglicana, Utakuta wanafunzi wa chuo kikuu pale wanasoma tution. Hili ni jambo ambalo linabidi liwe adressed mapema sasa na litafutiwe ufumbuzi wa kudumu. Mwisho wasomi watahitaji tuisheni ya kufanya kazi, ya kuongoza n.k pale wamalizapo masomo na kuingia ajirani.
TAFAKAR CHUKUA HATUA