Recent content by kamdinyo

  1. kamdinyo

    JamiiForums Tanzania Afande Sele achukizwa wasanii kuunganishwa na wenye tuhuma za Ushoga kwenye Wito wa Waziri Katambi

    WAliitwa wasanii au watu maarufu? Ukiwa msaniii na mtu maarufu unatambulika hivyo kutokana na kazi zako za kisanii hayo mambo kama ni shoga ni tabia binafsi. Ukakasi unakuja unakaaa kwenye mkutano kwenye kiti pembeni yako lipo lishoga kwakweli inaleta kinyaa. Lakini kuna tabia zingine kama...
  2. kamdinyo

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Duh kimemkuta nini huyu jamaa? Hata salamu tu kutupa matumani kama yu mzima
  3. kamdinyo

    JamiiForums Tanzania Mchepuko wangu kajifungua, hana uhakika kama mtoto ni wangu au wa mumewe

    Shamba si lako mazao si yako
  4. kamdinyo

    JamiiForums Tanzania PICHA: Utambuzi unaendelea, inasemekana ndiye anayetesa vijana wanaotekwa eneo maarufu kama Garage hapo Oysterbay

    Hapana anatakiwa apunguzwe yeye mwenyewe , hakuna kuchekesha
  5. kamdinyo

    JamiiForums Tanzania Hivi kwa mfano Rais ghafla akapoteza maisha nchi inaongozwaje

    Eti" japo hatuombei itokee" sisi wananchi tunaombea sana itokeee ni vile bado Mungu hajaamua
  6. kamdinyo

    JamiiForums Tanzania Nani aliyewaaminisha wabongo kwamba azuma( azithromycin) ni dawa ya magonjwa ya ngono

    Nikiyavabanga huko nakimbiaga AZUMA bila hata kupima , aibu maona mimi😅😅
  7. kamdinyo

    JamiiForums Tanzania WanaJF mara moja moja muwe vaeni uhusika wa Lucas Mwashambwa na Tlatala

    Luka ni mwalimu nasikia na akaunti yakefb naijua
  8. kamdinyo

    JamiiForums Tanzania WanaJF mara moja moja muwe vaeni uhusika wa Lucas Mwashambwa na Tlatala

    Kama shida ni malipo hawana tofauti na wale wakalia mpini uliopakwa mafuta ya nazi, yaani kama unaeweza kutoka hadharani kuandika wanayoandika kwa malipo ya fedha basi hutashindwa kitu
  9. kamdinyo

    JamiiForums Tanzania USINUNUE SOUNDBAR BILA KUSOMA HII:

    Sub woofer kwenye movie za kivita likipigwa bomu huo mlio wake na kishindo utadhani bomu limetua sebuleni
  10. kamdinyo

    JamiiForums Tanzania Ulinzi na usalama nchini Tunzania

    Na mimi niko tayari kusaliti😅😅
  11. kamdinyo

    JamiiForums Tanzania Ulinzi na usalama nchini Tunzania

    Nchi ipo uchi kwenye suala zima la ulinzi wa wa mipaka na mambo ya ndani, na ikitokea hata nchi ndogo ya Rwonda ikavamia ndani ya Tunzania itajichukulia maeneo kwa urahisi sana. Wananchi wa Tunzania wako tayari hata kuisaliti nchi yao kwa kuwasaidia maadui kuiangamiza nchi yetu. Huu ni...
  12. kamdinyo

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    5DWBC9 - sportybet
  13. kamdinyo

    JamiiForums Tanzania LATRA: Mabasi yote yaishie Stendi ya Magufuli na Mbagala

    Mimi jumanne nakwenda Morogoro kwa kutumia Abood bus , nakwenda shekilago na nina hakika nitapata basi pale pale kwa siku zote.
  14. kamdinyo

    JamiiForums Tanzania Swala na ibada za waumini hazigeuki kuwa batili ikiwa Imamu au Sheikh kiongozi wa ibada ni mzinifu?

    hawawezi kusema kwakuwa mengine ni mazito kutamka mdomoni hasa wa kiongozi wa dini
Back
Top Bottom