Kesho utakuja kutueleza damu lita ngapi imemwagika.
Watanzania hawana huo muda wa maandamano.
Ingekuwa lengo kuandamana kupinga matokeo watu wangenzisha reactions hapo hapo kwenya kata pindi matokeo yanasomwa.
Sasa matokeo ya udiwani kwenye kata hola watu wametulia, matokeo ya ubunge kwenye...
Kinacholeta shida ni upinzani wa kupinga kila kitu. Mtu mzima kuna anajua kuchuja zuri na baya, Sasa hadi kwenye zuri unalazimisha lionekane baya hapo ndio upinzani unapokuwa wa ovyo kabisa.
Upinzani unatoa hoja ndege hazijanunuliwa kwa kufuata utaratibu tumesikia na tumeanza kuelewa malalamiko...
Yani mpinzani akiuke taratibu na Sheria za nchi asichuliwe hatua kisa ana wakili/mwanasheria wa kimataifa kutoka ulaya.
Hataamini anapigwa Tanganyika jerk brake ya Kwanza Central. Pale taratibu zinaendelea anapelekwa Kisutu. Sasa Amstadamu hii nchi sijui ataingia kupitia wapi kuja kumtetea...
Niandamane kisa aliekuwa mbunge wa Hai kapoteza Jimbo
Niandamane kisa aliekuwa mbunge wa Kawe kapoteza Jimbo
Niandame kisa Mgombea wa uraisi kupitia Chadema kaikosa ikulu, na kampeni zake za kufoka tu kwa kujitegeza akimalizia na neno SAWA SAWA. Sasa Kama sio kushindwa wao walitaka ashindwe...
Mkoani kwetu shughuli zinaendelea Kama kawaida. Tunaouza nyanya na vitunguu pembezoni mwa barabara tumepanga Kama kawaida.
Yani kiufupi Maisha yanaendelea Kama uchaguzi mkuu ulifanyika 2017, wakat ni juzi tu.
Tuchape kazi. Kuingia barabarani ni kazi na matrafiki
Hii biashara imeshamalizika huku mkoani kwetu shughuli zinaendelea Kama hakuna kilichowahi tokea, wanaopanga nyanya na vitunguu pembezoni mwa barabara wamepanga Kama kawaida. Kelele zimebaki JF tu. Raia wameshasahau Kama kulikuwa na uchaguzi mkuu. Kila mtu Yuko buzy na shughuli yake.
Watu...
Huduma ya internet ipo Kama kawaida tu.
Kama vyuoni tu au taasisi zinapoamua kuzuia baadhi ya mitandao isiweze kuwa accessed katika network zao ndio mambo yako hivo. Tunaosoma website za mambo ya kilimo na ufugaji huduma zinaendelea Kama kawaida.
Wanaolima nyanya wenyewe wanafahamu aina na gharama za mbegu. Kwa mbegu za F1 hiyo Bei ni ya kawaida kabisa.
Asiye na uwezo atanunua mbegu za kawaida. Kila kitu kina changamoto zake...
Mbegu Bei rahisi haivumilii magonjwa na haizai Sana.
Mbegu Bei ghari inavumilia magonjwa na inazaa Sana...
Sijafungua hiyo link kwa muonekani wa picha tu bado una safari ndefu ya kwenda.....
Jifunze haya Mambo kwa undani sana ( from scratch)
1. HTML
2. CSS
3. JavaScript
Ukimaliza hapo jifunze principles of UI/UX design.
Ukimaliza hamia kwenye polular frontend frameworks Kama bootstrap,jquery...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.