Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 13,930
- 21,017
Ndugu
Zitto, Lissu, Mbowe na Wapinzani wengine mnapoteza muda kupigana Vita, kwa kisingizio kuwa mnapigania haki kwa ajili ya Watanzania.
Watanzania hawana muda na nyie kama hamjui ndio maana mnatoa matamko mitandaoni, wanawaangalia tu, mnasema haki zinaminywa lakini wenyewe wanaendelea na mambo yao, hawaoni huo udikteta wa magufuli wala haki kuminywa.
Hivyo basi ni bora mkaendelea na biashara zenu, mnauchungu na watu ambao hawana uchungu na nyie, hata mkipigwa hakuna mtanzania wa kuingia barabaran kisa nyie, huo ndio ukweli Kama hamjui
Wananchi wakiona hakuna demokrasia, hakuna haki, kuna uvunjifu wa sheria, hakuna atakaye walazimisha wataingia wao barabarani.
Mtanzania haamini mpaka aone damu, waache kwanza Magufuli awanyooshe, watakapo One umuhimu wenu watawakumbuku, kwa sasa mnajisumbua tu bure.
Kubalini matokeo, kwani wananchi wameopiga kura wameshayakubali, na hamna uwezo wa kuwambia waingie barabaran.
Polen sana
Zitto, Lissu, Mbowe na Wapinzani wengine mnapoteza muda kupigana Vita, kwa kisingizio kuwa mnapigania haki kwa ajili ya Watanzania.
Watanzania hawana muda na nyie kama hamjui ndio maana mnatoa matamko mitandaoni, wanawaangalia tu, mnasema haki zinaminywa lakini wenyewe wanaendelea na mambo yao, hawaoni huo udikteta wa magufuli wala haki kuminywa.
Hivyo basi ni bora mkaendelea na biashara zenu, mnauchungu na watu ambao hawana uchungu na nyie, hata mkipigwa hakuna mtanzania wa kuingia barabaran kisa nyie, huo ndio ukweli Kama hamjui
Wananchi wakiona hakuna demokrasia, hakuna haki, kuna uvunjifu wa sheria, hakuna atakaye walazimisha wataingia wao barabarani.
Mtanzania haamini mpaka aone damu, waache kwanza Magufuli awanyooshe, watakapo One umuhimu wenu watawakumbuku, kwa sasa mnajisumbua tu bure.
Kubalini matokeo, kwani wananchi wameopiga kura wameshayakubali, na hamna uwezo wa kuwambia waingie barabaran.
Polen sana