Mashahidi wa YEHOVA wamejitahidi sana kuelezea ukweli huo lkn ukinzani ni mkubwa mno kutoka kwa baadhi ya madhehebu.
Ukweli ni kama alivyo Eleza mtoa post jehanamu ipo toka zamani hapa duniani.
Na hao ndiyo walio iludisha Bibilia original kutoka tafsiri ya kigiriki neno kwa neno tofauti kabisa na bibilia za wengine ambazo waliliondoa jina la YEHOVA mahali pake kwa sababu wanazo zijua wenyewe. Katka bibilia original ya kigiriki jina Mungu wa kweli Yehova limetajwa mara 7000.
Unabii unatimia,
Kwanza mtachukiwa na mataifa yote kwa ajiri ya jina langu na kwa ajiri ya kueneza habari njema za ufalme wa YEHOVA...
Serikali ya urusi imewahi toa barua Mara mbili kupongeza juhudi za mashahidi...
Hapo Kuna mkono wa dini zingine ambazo viongozi wake ni wandamizi ktk...
Krismas imeandikwa wapi kwenye bibilia? Hiyo ni moja wapo ya tofauti na madhehebu mengine.
Nikisema nipe andiko kuhusu krismas ntakua nimekutoa nduuki utaishia kusema ilibuniwa tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.